Kiongozi wa serikali anaposimamia uongozi wa nchi, kwa assumption kwamba anatumia sheria za nchi, Lazima awe mkali. Ndiyo maana anapewa jeshi la polisi, anapewa magereza, nk. Kama ni huruma na kubembelezana, majeshi ya nini?Nauliza ili nijue. Kiongozi hawezi kuwa mpole, mstaarabu, mtaratibu, mwenye kuheshimika kwa wananchi wake, anayeishi nao kwa kauli njema na Amani na kushirikiana nao katika shughuli za kujenga taifa kwa staha na heshima kwake na kwao?
Ni lazima kiongozi awe na kauli na matendo ya kutisha, aliyejaa mikwara na kiburi? Yaani kuwa kiongozi ni kuwa na kibali cha kutisha, kujisifu kwa mamlaka aliyonayo kwa wananchi hadi wananchi wayajue mamlaka yake?
Wenye majibu karibuni...
Ni lazima kiongozi awe na kauli na matendo ya kutisha, aliyejaa mikwara na kiburi? Yaani kuwa kiongozi ni kuwa na kibali cha kutisha, kujisifu kwa mamlaka aliyonayo kwa wananchi hadi wananchi wayajue mamlaka yake?
Wenye majibu karibuni...
Sifa moja ya kiongozi ni kuwa na uwezo wa kushawishi,kuwashawishi unaowaongoza ili waelewe Sera zako,wa buy in na kukuunga mkono.ukiona mtu anatumia mabavu na ni mkali Kama pilipili huyo si kiongozi but also is incompetent na mwisho wake ni kufeli,ukisikia uchumi wetu unakuwa kwa 4% Wala usishangae,kwani unaweza kuwalazimisha punda kwenda mtoni ila huwezi kuwalazimisha kunywa maji.Tumeshafika mtoni sasaNauliza ili nijue. Kiongozi hawezi kuwa mpole, mstaarabu, mtaratibu, mwenye kuheshimika kwa wananchi wake, anayeishi nao kwa kauli njema na Amani na kushirikiana nao katika shughuli za kujenga taifa kwa staha na heshima kwake na kwao?
Ni lazima kiongozi awe na kauli na matendo ya kutisha, aliyejaa mikwara na kiburi? Yaani kuwa kiongozi ni kuwa na kibali cha kutisha, kujisifu kwa mamlaka aliyonayo kwa wananchi hadi wananchi wayajue mamlaka yake?
Wenye majibu karibuni...
jana nimecheka sana ile english maana hata mimi ni darasa la saba lakini english yangu imesimamaDikteta na muuaji ustaarabu, upole na utaratibu wapi na wapi!? Acha wengine waseme ni mhutu Wabongo hatuna tabia za kishenzi kama hizo.
Nauliza ili nijue. Kiongozi hawezi kuwa mpole, mstaarabu, mtaratibu, mwenye kuheshimika kwa wananchi wake, anayeishi nao kwa kauli njema na Amani na kushirikiana nao katika shughuli za kujenga taifa kwa staha na heshima kwake na kwao?
Ni lazima kiongozi awe na kauli na matendo ya kutisha, aliyejaa mikwara na kiburi? Yaani kuwa kiongozi ni kuwa na kibali cha kutisha, kujisifu kwa mamlaka aliyonayo kwa wananchi hadi wananchi wayajue mamlaka yake?
Wenye majibu karibuni...
Ukali, kauli za vitisho na kutumia nguvu nyingi ni dalili za uoga, upumbavu, ulafi wa madaraka na kutokujiamini.
Kama wewe ni kiongozi unajiamini umepewa mamlaka na unaowaongoza kihalali una haja gani ya kuwa mkali mkali na vitisho vingi na miguvu mingi isiyo na ulazima?
Hizo ni dalili kuwa inawezekana unaowaongoza hawakubariki wewe kuwaongoza na labda kuna namna ya tofauti iliyokuweka hapo ofisini ulipo kiongozi.
Boss lazima ujiamini hata watu unaowaongoza wafanya kazi kwa ufanisi.
Ukiona baba kila siku anajitambulisha kwa watoto wake kuwa yeye ndio baba jua kuna walakini.
Ukiona mtu anakuwa na jazba, vitisho nk, ujue huyo hakuingia madarakani kwa ridhaa ya wengi. Hivyo anatumia vitisho ili kuwaongoza hao ambao hana ridhaa nao.