Hivi ni lazima kiongozi kuwa mkali, mwenye kujisifu na mwenye mikwara kwa wananchi?

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Dec 27, 2012
10,197
25,517
Nauliza ili nijue. Kiongozi hawezi kuwa mpole, mstaarabu, mtaratibu, mwenye kuheshimika kwa wananchi wake, anayeishi nao kwa kauli njema na Amani na kushirikiana nao katika shughuli za kujenga taifa kwa staha na heshima kwake na kwao?

Ni lazima kiongozi awe na kauli na matendo ya kutisha, aliyejaa mikwara na kiburi? Yaani kuwa kiongozi ni kuwa na kibali cha kutisha, kujisifu kwa mamlaka aliyonayo kwa wananchi hadi wananchi wayajue mamlaka yake?

Wenye majibu karibuni...
 
Ukali, kauli za vitisho na kutumia nguvu nyingi ni dalili za uoga, upumbavu, ulafi wa madaraka na kutokujiamini.

Kama wewe ni kiongozi unajiamini umepewa mamlaka na unaowaongoza kihalali una haja gani ya kuwa mkali mkali na vitisho vingi na miguvu mingi isiyo na ulazima?

Hizo ni dalili kuwa inawezekana unaowaongoza hawakubariki wewe kuwaongoza na labda kuna namna ya tofauti iliyokuweka hapo ofisini ulipo kiongozi.

Boss lazima ujiamini hata watu unaowaongoza wafanya kazi kwa ufanisi.
 
sasa utajulikana vipi kama kiongozi,mtoto umleyavo ndo akuavo. Hiyo kwa sasa ndio trend iliopo. Bila ya hivo huwezi kuendelea mara utatumbuliwa.
 
Jibu ni hapana ila ungeweka na majina halisi km mfano. Maana viongozi wengine ni viongozi wa vichaa so akiwa mpole ni hatari
 
watanzania hawana dogo wala jema, kuna awamu kiongozi wake alikuwa mpole watanzania wakaanza kusema upole wake umezidi na huyo kiongozi alipokuwa anawaaga watanzania baada ya kumaliza ngwe yake ya uongozi akasema ' nimewaletea chuma haswa, si mlisema miye mpole'.

leo wanasema tunataka kiongozi aliye kati ya Magufuli na Kikwete, huu ni ufinyu mkubwa wa fikra.
 
Nauliza ili nijue. Kiongozi hawezi kuwa mpole, mstaarabu, mtaratibu, mwenye kuheshimika kwa wananchi wake, anayeishi nao kwa kauli njema na Amani na kushirikiana nao katika shughuli za kujenga taifa kwa staha na heshima kwake na kwao?

Ni lazima kiongozi awe na kauli na matendo ya kutisha, aliyejaa mikwara na kiburi? Yaani kuwa kiongozi ni kuwa na kibali cha kutisha, kujisifu kwa mamlaka aliyonayo kwa wananchi hadi wananchi wayajue mamlaka yake?

Wenye majibu karibuni...

Woga na Kutokujiamini
 
Nauliza ili nijue. Kiongozi hawezi kuwa mpole, mstaarabu, mtaratibu, mwenye kuheshimika kwa wananchi wake, anayeishi nao kwa kauli njema na Amani na kushirikiana nao katika shughuli za kujenga taifa kwa staha na heshima kwake na kwao?

Ni lazima kiongozi awe na kauli na matendo ya kutisha, aliyejaa mikwara na kiburi? Yaani kuwa kiongozi ni kuwa na kibali cha kutisha, kujisifu kwa mamlaka aliyonayo kwa wananchi hadi wananchi wayajue mamlaka yake?

Wenye majibu karibuni...

Inategemea na Kiongozi huyo ni wa haiba ipi ktk aina za watu.Mfano kama ni wa aina ya Sanguine sahau kuhusu utulivu maana wao ni watu wa kukurupuka,hasira, mikwara,nk sifa ulizozitaka hawana na hawawezi hata uwape vipi shule ni nature tabia ya kuzaliwa nayo. Ukiona Kiongozi wa hivyo huyo sio Kiongozi ni mtawala kutawala ni kumiliki akili na mawazo ya watu wafanye utakavo ili kukufurahisha wwe hata kama wataumia,watakufa, watafilisika,nk.Kiongozi ni MTU aonyeshaye njia yaani kuwa chukua watu na kuwatoa sehemu ngumu au duni na kuwapeleka penye ustawi sahihi.Ukiona Kiongozi ana tabia za ukali,kufokafoka,mikwara ni dhaifu,ni muoga,ana utupu uwazi ndani mwake hivyo ufanya hivyo kutengeneza gap ili usiwe karibu nae aogopwe ili watu wasijue udhaifu wake.Ukitaka kummaliza Kiongozi wa hivyo usimuogope,nyoka nae,mbane kwenye fact hoja japo kisaikolojia utakuwa unamuumiza,wengi awapendi ukinzani thus kama ni kwenye ofisi ataakikisha anawahamisheni nyote au kuwafukuzeni nyote ili aweke watu dhaifu watakaomuogopa.Kiongozi sahihi hata tabia hizo.
 
watanzania hawana dogo wala jema, kuna awamu kiongozi wake alikuwa mpole watanzania wakaanza kusema upole wake umezidi na huyo kiongozi alipokuwa anawaaga watanzania baada ya kumaliza ngwe yake ya uongozi akasema ' nimewaletea chuma haswa, si mlisema miye mpole'.

leo wanasema tunataka kiongozi aliye kati ya Magufuli na Kikwete, huu ni ufinyu mkubwa wa fikra.

Ukali si tatizo ukali kwenye nn? Kama mbwa ni Mkali still anashindwa kudhibiti wezi ana faida gani?
 
Pia ukali kwa grade ipi maana kuna ukali na ukichaa ni vitu tofauti. Sokoine alikuwa Mkali kwa wezi hakuwa kichaa.Fafanua ukali wa aina gani
 
Hamna mkuu..!!! mbona rais kikwete, nyalandu, makamba ni wapole na walikuwa viongozi wazuri vibaya mno ko kila mtu style ya uongozi wake ili kwenda na nyakati zake. ..pia lingine ukali sana ni kuficha udhaifu wa mtu
 
Dikteta na muuaji ustaarabu, upole na utaratibu wapi na wapi!? Acha wengine waseme ni mhutu Wabongo hatuna tabia za kishenzi kama hizo.
Siyo uongo ni wa uko uko. Watanzania co wakatili kama huyu Magu. Watanzania ni wapole wenye huruma lkn huyu jamaa dalili zote za Rwanda anazo na ukizingatia walikuja na mamaake akiwa mdogo. Namshangaa anapowaandama watz na uraia wakati wake hajaudhibitisha. Ukiona anaeandama wenzie kwa ajili ya uraia ujue wake unamatatizo
 
Dikteta na muuaji ustaarabu, upole na utaratibu wapi na wapi!? Acha wengine waseme ni mhutu Wabongo hatuna tabia za kishenzi kama hizo.


Tuwe na intelligencia imara tusiruhusu wasio na DNA za kitz kutuvuruga,Inatakiwa tuwe na DNA database za kuwajua pure Tz angalia yule waziri wa elimu mwenye DNA za kikenya ndie aliyeanza kuvuruga elimu yetu.
 
Ukiona baba Mkali sana kwa familia ukichunguza anaficha siri ya kujulikana kutembea na house girl.
 
Back
Top Bottom