Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,197
- 25,517
Nauliza ili nijue. Kiongozi hawezi kuwa mpole, mstaarabu, mtaratibu, mwenye kuheshimika kwa wananchi wake, anayeishi nao kwa kauli njema na Amani na kushirikiana nao katika shughuli za kujenga taifa kwa staha na heshima kwake na kwao?
Ni lazima kiongozi awe na kauli na matendo ya kutisha, aliyejaa mikwara na kiburi? Yaani kuwa kiongozi ni kuwa na kibali cha kutisha, kujisifu kwa mamlaka aliyonayo kwa wananchi hadi wananchi wayajue mamlaka yake?
Wenye majibu karibuni...
Ni lazima kiongozi awe na kauli na matendo ya kutisha, aliyejaa mikwara na kiburi? Yaani kuwa kiongozi ni kuwa na kibali cha kutisha, kujisifu kwa mamlaka aliyonayo kwa wananchi hadi wananchi wayajue mamlaka yake?
Wenye majibu karibuni...