mimi ndo hata sielewi kwa sababu mshahara wa mwezi wa 7 haukuwa na mabadiliko yaani hata nyongeza haikuwepo!
Acha uongo waajiriwa wa serikalini wote mishahara ilipanda July..... hakuna mtumishi asiyepata nyongeza mwezi July....
mimi ndo hata sielewi kwa sababu mshahara wa mwezi wa 7 haukuwa na mabadiliko yaani hata nyongeza haikuwepo!
Kama alivyonunua meli ya kisasa kuli ziwa victoria.Kama aliahidi huenda akafanya kweli!!?
Habari ndo hiyo,labda mwezi huu!
Shemeji unatuachaje? Jk alisema akiwa hotelini kingurudoto kwamba walimu wataongezwa mishahara mwishoni mwa mwez8 alisema hatosema ni kiasi,kuhofia wafanyabiashara kupandisha bei ya bidha. Ila pengine ni fake promise kwani kawaida yake kudanganya wananchi.