Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,085
- 8,452
Kwa muda sasa natafakari kuhusu umaskini wa mtu mpaka kufikia mda mtu anashindwa kutekeleza baadhi ya mambo.
Yote ya yote umaskini ni naouona kama ulemavu wa akili kwani unashindwa kujituma na kujikomboa binafsi huu ni ugonjwa wa watu wa Afrika na kupenda shortcut way kijana unabidi upambane hata kwa biashara ndogo ndogo kwa kweli nashauri online earning kwa vijana hasa wanaosoma na wasio na ajira yapo makampuni mbalimbali ambayo yanatoa malipo kwa kuifanyia kazi kampuni hiyo
Tengeneza simple but cute blog weka ads anza kuvuna.
YouTube vijana mnakesha kuangalia udaku na porn ila hamjawaza kama inaweza kuwa fedha fungua channel weka video vuna pesa. Kwa mimi binafsi mapenda programming so naona kidogo ina pesa ila ndugu zangu mimi kama mimi nilianza online earning tangu nipo darasa la saba sasa ninamaliza zangu si chini ya 400M na mimi sijasoma sana nimeishia 4m4 tu ndo maan siamini katika elimu.
Tafuta pesa hutakuja jutia sio kukesha FB kupost magari ya watu wewe mwenyewe miaka 30 unakula na kulala kwa mama ni ulemavu huo anzisha biashara asikwambie mtu biashara ina pesa hata kuliko kuajiliwa wakuuu nimewasilishaaaa.
Special thanks kwa JF maaana saivi watu wasingepata ujumbe huu kirahisi kama humu.
Yote ya yote umaskini ni naouona kama ulemavu wa akili kwani unashindwa kujituma na kujikomboa binafsi huu ni ugonjwa wa watu wa Afrika na kupenda shortcut way kijana unabidi upambane hata kwa biashara ndogo ndogo kwa kweli nashauri online earning kwa vijana hasa wanaosoma na wasio na ajira yapo makampuni mbalimbali ambayo yanatoa malipo kwa kuifanyia kazi kampuni hiyo
Tengeneza simple but cute blog weka ads anza kuvuna.
YouTube vijana mnakesha kuangalia udaku na porn ila hamjawaza kama inaweza kuwa fedha fungua channel weka video vuna pesa. Kwa mimi binafsi mapenda programming so naona kidogo ina pesa ila ndugu zangu mimi kama mimi nilianza online earning tangu nipo darasa la saba sasa ninamaliza zangu si chini ya 400M na mimi sijasoma sana nimeishia 4m4 tu ndo maan siamini katika elimu.
Tafuta pesa hutakuja jutia sio kukesha FB kupost magari ya watu wewe mwenyewe miaka 30 unakula na kulala kwa mama ni ulemavu huo anzisha biashara asikwambie mtu biashara ina pesa hata kuliko kuajiliwa wakuuu nimewasilishaaaa.
Special thanks kwa JF maaana saivi watu wasingepata ujumbe huu kirahisi kama humu.