Perry JF-Expert Member Feb 24, 2011 10,043 2,000 Sep 27, 2012 #1 Jamani kwa anaefahamu anijuze tafadhali?
D dy/dx JF-Expert Member Jul 26, 2011 613 108 Sep 27, 2012 #2 ingia kwenye website yao kuna tangazo la kiwango cha ada...naona ada zipo kawaida tu hakuna mabadiliko...
ingia kwenye website yao kuna tangazo la kiwango cha ada...naona ada zipo kawaida tu hakuna mabadiliko...
K KIDUNDULIMA JF-Expert Member Aug 18, 2010 966 537 Sep 27, 2012 #3 ada hazijapanda ni zilezile za mwaka jana,juzi na majuzi
Perry JF-Expert Member Feb 24, 2011 10,043 2,000 Sep 27, 2012 Thread starter #4 Asanteni jamani,maana kuna mtu kanirusha roho huku,ukizingatia mwenyewe niko kwenye category ya no Loan,nlitaka kudhirai!
Asanteni jamani,maana kuna mtu kanirusha roho huku,ukizingatia mwenyewe niko kwenye category ya no Loan,nlitaka kudhirai!