Mystery,
Mlishatambua kuwa Wananchi wanaukubali upinzani tangia hata kabla ya 2015,yamkini walishinda ule uchaguzi na ndiyo maana mkapiga marufuku mikutano ya vyama.Dalili zote zinaashiria kuwa CCM wamejaa hofu na mashaka kuwa 2020 imewadia,CCM pamoja na kufanya propaganda none stop kuwa wanakubalika,bado wamejaa hofu.
Walisema siasa hadi 2020 ila kiuhalisia hadi sasa February inafika ukingoni lakini siasa mpaka Bunge livunjwe. Sasa hapo wanapimaje kukubalika kwao? Wanapambana na adui yao wamemfunga mikono na miguu, then wanasema wameshinda kwa TKO/KO? Hii ni aibu kwa demokrasia, ni sawa na kumbaka Malaya.
Mnapata wapi tathmini za kuwa mnakubalika kiasi cha kushinda kwa kishindo uchaguzi ambao hata haujatangazwa utafanyika tarehe ngapi?Hii siyo sawa na kujitangaza washindi kabla ya Tume ya Uchaguzi?Sheria zetu zimekaaje?
Mlishatambua kuwa Wananchi wanaukubali upinzani tangia hata kabla ya 2015,yamkini walishinda ule uchaguzi na ndiyo maana mkapiga marufuku mikutano ya vyama.Dalili zote zinaashiria kuwa CCM wamejaa hofu na mashaka kuwa 2020 imewadia,CCM pamoja na kufanya propaganda none stop kuwa wanakubalika,bado wamejaa hofu.
Walisema siasa hadi 2020 ila kiuhalisia hadi sasa February inafika ukingoni lakini siasa mpaka Bunge livunjwe. Sasa hapo wanapimaje kukubalika kwao? Wanapambana na adui yao wamemfunga mikono na miguu, then wanasema wameshinda kwa TKO/KO? Hii ni aibu kwa demokrasia, ni sawa na kumbaka Malaya.
Mnapata wapi tathmini za kuwa mnakubalika kiasi cha kushinda kwa kishindo uchaguzi ambao hata haujatangazwa utafanyika tarehe ngapi?Hii siyo sawa na kujitangaza washindi kabla ya Tume ya Uchaguzi?Sheria zetu zimekaaje?