rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 15,193
- 20,166
Wewe unawafahamu wazambia waliokuja kucheza Malindiya Zanzibar kipindi inadhaminiwa na Naushad au ulikuwa hujazaliwa, unajua walikuwa na uwezo gani kipindi hicho zbia tishio Afrika na wote walikuwa timu ya taifaZambia IPI MKUU ya Sasa au miaka 15 nyuma!
Rwanda Ni Taifa Stars iliyocgangamka!
Zambia og ,isingetokea eti kiungo wake ...Kama Rally Bwalya she kucheza Ligi ya Tz