bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,667
Je ni salama kwa wachezaji ? ukiangalia uwanja wa Taifa wa Benjamin Mkapa una taa karibia 200 na ushee kwa ajili ya gemu za usiku ila kuna hivi viwanja vingine vina taa hata 5 hazifiki na mpira unapigwa kama kawaida.
Hii imekaaje kitaalamu je hizo taa 4 zinauwezo mkubwa kuliko zile 200 za taifa na je ni mazingira rafiki kwa hizi gemu za usiku au ndio kuumiza macho ya wachezaji, kuna mechi moja imemalizika binafsi nimeona kama mwanga ulikua hautoshi kuna pande zina mwanga mkali na zingine zina mwanga hafifu.
Bila shaka mpira wetu umekua, tumeamua kuwa serious na mpira lakini pia ni vema tukaangalia na usalama wa wachezaji na mashabiki pia kwa kuboresha miundombinu zaidi wataalamu mtujuze kama taa husika ni salama kwa wachezaji wetu.
Hii imekaaje kitaalamu je hizo taa 4 zinauwezo mkubwa kuliko zile 200 za taifa na je ni mazingira rafiki kwa hizi gemu za usiku au ndio kuumiza macho ya wachezaji, kuna mechi moja imemalizika binafsi nimeona kama mwanga ulikua hautoshi kuna pande zina mwanga mkali na zingine zina mwanga hafifu.
Bila shaka mpira wetu umekua, tumeamua kuwa serious na mpira lakini pia ni vema tukaangalia na usalama wa wachezaji na mashabiki pia kwa kuboresha miundombinu zaidi wataalamu mtujuze kama taa husika ni salama kwa wachezaji wetu.