sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,034
Ni mchezaji ambae ni mtoto wa mjini, ndie mwenyeji wa wachezaji wengi wageni wanaofikia hapa kwetu hasa kwenye maisha binafsi ya wachezaji nje ya mpira.
Anaweza kuongea vizuri na kuinfkuence wachezaji wa kigeni hata kama wapo simba, hili ndilo jambo hatari zaidi endapo Yanga wakiamua kutumia mwanya huu kwa masalhi yao,
Anaweza kuongea vizuri na kuinfkuence wachezaji wa kigeni hata kama wapo simba, hili ndilo jambo hatari zaidi endapo Yanga wakiamua kutumia mwanya huu kwa masalhi yao,