Umeelewa vibaya. Naibu spika ndiye mwenye kuongoza mijadala huru ya bunge huru na kupitia kwake tutamjua nani alikuwa waziri wakati ferry iliponunuliwa au wewe unamjua?kumbe! sikujua kama naibu spika ndiye alikuwa waziri wa ujenzi wakati ule hiyo ferry iliponunuliwa!
Pia Bunge ndio linaweza kuiuliza serikali ya mtukufu ni lini hiyo huduma ya ferry ya Dah!-bwaga.moyo
itaanza kutoa huduma. Au ni lini urekebishaji wa mwendokasi wa ile ferry utakamilika ili ianze kusafirisha wadanganyika.