Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,601
- 94,726
Wewe endelea kuvuta subira kwani uteuzi wa watendaji wa vijiji unakujaNani mwenye kosa, anayegundua amezalisha mafisadi na kuyachinjia baharini au ananunuliwa na Fisadi aliyechinjiwa baharini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe endelea kuvuta subira kwani uteuzi wa watendaji wa vijiji unakujaNani mwenye kosa, anayegundua amezalisha mafisadi na kuyachinjia baharini au ananunuliwa na Fisadi aliyechinjiwa baharini?
Aaaaa kumbeeeeee!!!!!Mkuu CCM ni wasafi kama malaika issue za Escrow Epa , Lugumi n.k ni za Wapinzani
Duuu!!Mkuu CCM ni wasafi kama malaika issue za Escrow Epa , Lugumi n.k ni za Wapinzani
unamaanisha yule waziri wa awamu ya tatu na mwenzie waliokuwa wamehukumiwa kifungo walipewa uwezo na Lowassa? na wale wa escrow na epa pia? kumbe hapakuwa na rais wakati ule?pleeeease!Mnatapatapa tu, hizo ni hoja mfilisi. Lowassa ndiye aliwajengea watu uwezo wa kuiba na wasichukuliwe hatua. Hizi zama za Dr. Magu mtasubiri sana, kwanza Rais anahakikisha anasambaratisha mtandao wa rushwa alioujenga Lowassa.
Unauliza karafuu Pemba?Jecha yupi huyo huyo wa tume?
Teeeeeeh teeeeeeeeeh, mkuu wacha vituko wewe!Unauliza karafuu Pemba?
Mkuu huyo ni kati wa magimbi wa lumumba, hata ukimwelewesha vipi yupo kama jiwe la barafu habadilikiunamaanisha yule waziri wa awamu ya tatu na mwenzie waliokuwa wamehukumiwa kifungo walipewa uwezo na Lowassa? na wale wa escrow na epa pia? kumbe hapakuwa na rais wakati ule?pleeeease!
Unao ushahidi? Au umesoma magazetini?Unanitaka nitaje halafu unanikataza kwa vitisho nisitaje... Ahahahaahahahaaa.... Nyumba za serikali banaaa.....!!
Taja mmoja mliemchinjia baharini ila utakapofikia kwa Chenge na Tibaijuka njoo upate biaNani mwenye kosa, anayegundua amezalisha mafisadi na kuyachinjia baharini au ananunuliwa na Fisadi aliyechinjiwa baharini?
Hata Yesu alimuomba Mungu, sembuse mwanadamumkuu,tumeambiwa safari hii tunae Kiongozi ambaye ni chaguo la Mungu sio chaguo la ccm japo cha ajabu tunaambiwa tena tumuombee kwa Mungu huyo huyo aliyemchagua! tusubiri,pengine tutafikishwa kwenye ile nchi ya ahadi.
ilo hata JPM analijua. Alituambia hivyo wakati wa kampeni.Ndugu zangu tusisahau tumefikishwa hapa na CCM. Tunalia ufisadi wakati CCM ndo inazalisha mafisadi na kuwakumbatia,tunalia rushwa wakati ni zao la CCM, tunalia rasilimali zetu kuporwa na wazungu wakati mshenga ni CCM.
Watanzania tumelogwa na nani? Kila uchafu anaolalamikia rais wetu anasahau kuwa ni zao la CCM! Inauma sana tunakuwa wasahaulifu na kumlaumu muumba wetu. Tubadilike Watanzania!!
Duh mkuu... mbona kama umepaniki flani hivii... ahahahahahahaaa haya bana...Unao ushahidi? Au umesoma magazetini?
Alizifanya nini hizo nyumba? Nyumba ngapi?
Hapa ni wewe ndio unaonekana, unajionesha unapaniki. Kwa nini?Duh mkuu... mbona kama umepaniki flani hivii... ahahahahahahaaa haya bana...
Tatizo ni kubwa pale unapotaka kumfumga paka kengere wakati kengere yenyewe anayo peke kwenyewe.. kwanza una kazi kumnyang'anya halafu uuangaike kumfunga.... ni ishuuu...
hakuna shida.tunataka tu ile ferry ya dar-bagamoyo ianze kutuhudumia baaasi.Unao ushahidi? Au umesoma magazetini?
Alizifanya nini hizo nyumba? Nyumba ngapi?
Hili nalo ni jipu?hakuna shida.tunataka tu ile ferry ya dar-bagamoyo ianze kutuhudumia baaasi.
Yohana mbatizaji alipokuwa gerezani aliwatuma watu wake kwa Yesu wamuulize yeye ndiemkuu,tumeambiwa safari hii tunae Kiongozi ambaye ni chaguo la Mungu sio chaguo la ccm japo cha ajabu tunaambiwa tena tumuombee kwa Mungu huyo huyo aliyemchagua! tusubiri,pengine tutafikishwa kwenye ile nchi ya ahadi.
kumbe! sikujua kama naibu spika ndiye alikuwa waziri wa ujenzi wakati ule hiyo ferry iliponunuliwa!Hili nalo ni jipu?
Hilo aulizwe naibu spika ana majibu yake.