Hivi ni kweli filamu za bongo zinalipa?

Hivi ni kweli filamu za bongo zinalipa?

Mbona watumishi wa umma wana magari, je hizo halmashauri na zenyewe zinalipa sana?

Kama mtumishi wa umma mwenye mshahara usiozidi 1.5M anamiliki gari, kwanini wasanini wasimiliki?

Kama mtumishi wa umma anakopa, hata wasanini pia wanaweza kukopa kutimiza malengo yao
 
Hatununui na hatulipii kazi zao lakini wana pesa za kufa mtu, wanazitoa wapi?
Dunia ina mambo mengi ya ajabu ajabu. Timu ya mpira inamlipa mchezaji wa nje mpaka million 50 kwa mwezi na bado kuna wachezaji wengine kibao na wafanyakazi wengine. Jiulize pesa wanapata wapi za kuweza kufanya yote hayo. Utaishia kusikia kuna wadhamini sijui kina GSM au Mo. Sasa hao wadhamini wanapata kitu gani kutoka kwenye hizo timu,kuuza jezi ???
 
Dunia ina mambo mengi ya ajabu ajabu. Timu ya mpira inamlipa mchezaji wa nje mpaka million 50 kwa mwezi na bado kuna wachezaji wengine kibao na wafanyakazi wengine. Jiulize pesa wanapata wapi za kuweza kufanya yote hayo. Utaishia kusikia kuna wadhamini sijui kina GSM au Mo. Sasa hao wadhamini wanapata kitu gani kutoka kwenye hizo timu,kuuza jezi ???
Jersey zenyewe sisi tunanunua za mchongo.

Haya mambo alikuwa anayaweza Gulamali na Dewji enzi zileee.
 
Back
Top Bottom