Sio kivile.. Matangazo ya biashara na wengine uchawa ndio vinawabebaWanajamvi salaam
Leo katika pitapita zangu mitandaoni nimekutana na hii habari ya mbongo muvi mmoja kununua gari angalia picha chini
Swali langu ni je filamu za bongo zinalipa au ni showoff tu za wanatasnia hawaView attachment 3405018 huku nyuma ya pazia njaa tupu?
Kwa kweli sijawahi na wala huwa siangaliiMleta uzi ungejiuliza swali rahisi sana. Wewe binafsi umewahi kununua filamu yoyote ya Bongo Movie?
Kama huja-wahi sasa nani huwa anazinunua hadi ziwape mafanikio hao waigizaji?
Umewahi kununua CD ya muziki wa mwananmuziki yeyote Tanzania?
Kama bado jiulize ni nani anannunua hadi wawe na mafanikia hayo?
Kajaribu usipotoboa utatobolewa.
Tamthilia ya lamata leah ,juakali,imenunuliwa na DStv kwa zaidi ya Tsh1b,kurusha episode moja DStv producer unapata 5-13m, siku hizi hawatoi single movie ni series tu na zinawalipa,hasa DStvMleta uzi ungejiuliza swali rahisi sana. Wewe binafsi umewahi kununua filamu yoyote ya Bongo Movie?
Kama huja-wahi sasa nani huwa anazinunua hadi ziwape mafanikio hao waigizaji?
Umewahi kununua CD ya muziki wa mwananmuziki yeyote Tanzania?
Kama bado jiulize ni nani anannunua hadi wawe na mafanikia hayo?
Kajaribu usipotoboa utatobolewa.
Wao DSTV wanalipwa kwa matangazo siyo filamTamthilia ya lamata leah ,juakali,imenunuliwa na DStv kwa zaidi ya Tsh1b,kurusha episode moja DStv producer unapata 5-13m, siku hizi hawatoi single movie ni series tu na zinawalipa,hasa DStv
Mkuu umetoa bonge la hoja. Wewe hununui jiulize nani huwa ananunua 😂😂😂Mleta uzi ungejiuliza swali rahisi sana. Wewe binafsi umewahi kununua filamu yoyote ya Bongo Movie?
Kama huja-wahi sasa nani huwa anazinunua hadi ziwape mafanikio hao waigizaji?
Umewahi kununua CD ya muziki wa mwananmuziki yeyote Tanzania?
Kama bado jiulize ni nani anannunua hadi wawe na mafanikia hayo?
Kajaribu usipotoboa utatobolewa.
Tamthilia zinafanya ving'amuzi vilipiwe,kuna ving'amuzi laki unusu vya DStv tz,ukilipia 28k unaona tamthilia zote za tz,28k mara laki unusu ni bei gani wanaingiza kwa mwezi?Wao DSTV wanalipwa kwa matangazo siyo filam
nadhani haufahamu kwa sasa mambo yanavyoendaSidhani kwansa hata tz kuna movie yenye bajet ya M200 uwekezaji.
Wamekariri haonadhani haufahamu kwa sasa mambo yanavyoenda
ila nakusanua tu kwqnza tuanze jwenye YOUTUBE
zile filamu za seriez za BONGO MOVIE wanazorusha YOUTUBE kama wale kina CLAM VEVO na WENGINE
qmbqzo zinatamba huwa zinawaingizia mapato kwa mwezi kuanzia milioni 5 10 na kuendelea hapo ni zile za qasanii wa kawaida sana youtube ma pesa nyingi huishia kwenye PRODUCTION
ila zile zinazorushwa AZAM DSTV
huwa zinawalipa sana kwa wasanii wa kubwa
kutokana na kuwa na gharama hiyo milioni 200 kutengeneza SEASON 1 ni kawaida sana
7bu msanii mkubwa kwa SEASON 1 kwa filamu amabzao zinatamba anaweza kulipwa milioni 5 mpk 10 kwa season 1
tena kma msimu ukiwa moto filamu imehiti inafika hatua wanataka walipwe PER SCENE wasanii
DSTV ndio kampuni inalipa VINZURI filamu kuliko azam DSTV kulipa tshs 500mln kwa msimu wa mmoja waSERIEZ sio shida kabisa
Sawa nimeelewa mkuunadhani haufahamu kwa sasa mambo yanavyoenda
ila nakusanua tu kwqnza tuanze jwenye YOUTUBE
zile filamu za seriez za BONGO MOVIE wanazorusha YOUTUBE kama wale kina CLAM VEVO na WENGINE
qmbqzo zinatamba huwa zinawaingizia mapato kwa mwezi kuanzia milioni 5 10 na kuendelea hapo ni zile za qasanii wa kawaida sana youtube ma pesa nyingi huishia kwenye PRODUCTION
ila zile zinazorushwa AZAM DSTV
huwa zinawalipa sana kwa wasanii wa kubwa
kutokana na kuwa na gharama hiyo milioni 200 kutengeneza SEASON 1 ni kawaida sana
7bu msanii mkubwa kwa SEASON 1 kwa filamu amabzao zinatamba anaweza kulipwa milioni 5 mpk 10 kwa season 1
tena kma msimu ukiwa moto filamu imehiti inafika hatua wanataka walipwe PER SCENE wasanii
DSTV ndio kampuni inalipa VINZURI filamu kuliko azam DSTV kulipa tshs 500mln kwa msimu wa mmoja waSERIEZ sio shida kabisa
Mcheki mwamba hapo Chini mkombozi wa waislamu dhidi ya dhulma ukandamizaji unyanyasaji na uonevuWamekariri hao
Haya yamekujaje kwenye uzi huu?Mcheki mwamba hapo Chini mkombozi wa waislamu dhidi ya dhulma ukandamizaji unyanyasaji na uonevu
View attachment 3405538
adriz Covax Kusini kuchele
Haya yamekujaje kwenye uzi huu?
Hatununui na hatulipii kazi zao lakini wana pesa za kufa mtu, wanazitoa wapi?Mkuu umetoa bonge la hoja. Wewe hununui jiulize nani huwa ananunua 😂😂😂
Lakini wasanii wana pesa sijui wanazitoa wapi?Kwa kweli sijawahi na wala huwa siangalii
Kwahiyo zile namba za youtube, spotify, apple music anasikiliza nani?Lakini wasanii wana pesa sijui wanazitoa wapi?
Wewe na mimi hatulipii kusikiliza muziki wa Diamond, tuna usikiliza kwenye daladala lakini yeye anapesa nyingi jiulize anazitoa wapi?