simba wa dodoma
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 925
- 1,010
Nimepata baadhi ushuhuda baadhi ya washkaji wakisema iliwaai kuwakuta mpaka wakafilisika ila baada ya mke wake kujifungua mambo yakaanza kwenda fresh mambo yakafunguka mara mbili zaidi yaa mwanzo.
Je, hii kitu ni kweli ushawai kukutana nacho tuambie ilikuawaje ilikuwaje
Je, hii kitu ni kweli ushawai kukutana nacho tuambie ilikuawaje ilikuwaje