Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,181
- 21,321
Habari wakuu ..
Hii kitu sijajua imekaa vipi nimefanya uchunguzi wangu nimegundua wanaume wengi ambao vipato ni vidogo ,pesa za kula tu Milo mitatu zinapiga chenga kipaombele kingi sana kwao ni mapenzi na ngono ,kushoobokea mademu ,matusi na maneno ya kingono ngono kila sekunde ...!
Asilimia 90 za ubongo unakuwa unatawaliwa na kumkunja mwanamke kitandani ,kumpelekea moto ,Tako kubwa ,namna ya kumfikisha mwanamke kileleni na blaaa blaaa kibao ...
ila wenye pesa sasa ,hata hawana time kabisa na hizo mambo ,yaani wapo cool Sana ,hata shobo na wanawake sio kivile ,wao muda wote wanaenjoy Kwa namna yao ....!
Hii imekaaje wakuu ...!!
Hii kitu sijajua imekaa vipi nimefanya uchunguzi wangu nimegundua wanaume wengi ambao vipato ni vidogo ,pesa za kula tu Milo mitatu zinapiga chenga kipaombele kingi sana kwao ni mapenzi na ngono ,kushoobokea mademu ,matusi na maneno ya kingono ngono kila sekunde ...!
Asilimia 90 za ubongo unakuwa unatawaliwa na kumkunja mwanamke kitandani ,kumpelekea moto ,Tako kubwa ,namna ya kumfikisha mwanamke kileleni na blaaa blaaa kibao ...
ila wenye pesa sasa ,hata hawana time kabisa na hizo mambo ,yaani wapo cool Sana ,hata shobo na wanawake sio kivile ,wao muda wote wanaenjoy Kwa namna yao ....!
Hii imekaaje wakuu ...!!