Hivi ni kwanini Damu haina rangi ya blue..?!

Hivi ni kwanini Damu haina rangi ya blue..?!

Mbona kuna watu wana damu za kijani?

Kamuulize JK damu yake ina rangi gani, au mfuate Kinana, Makamba, Komba na wengineo, wao wana damu ya kijani.

More inf.
Kibaolojia, damu imeundwa na haem compound ambayo imeundwa na madini ya chuma na ndio huipa damu rangi nyekundu.

Kikemia.

Damu imeundwa na elementi nyingi, lakini element kuu ni Iron, kwa jinsi electron zilivyo jipanga, Iron, imewekwa kwenye kundi la TRANSITION ELEMENTS likiwa ni kundi "D" la periodic table.

Electron zilizopo kwenye d-orbital ni sita, hivyo kuifanya Iron kuwa na uwezo wa kubeba element nyingine.

Iron ikibeba element (ikibond) na element nyingine hutoa rangi tofauti tofauti, mfano, Iron iki bond na sulfate inatengeneza rangi ya kijani, ikiwa na maji inakuwa na rangi ya brown.

Rangi ya Iron inategemeana na aina ya radical-ligand iliyo ungana nayo.
 
Binafsi nilikuwa napenda niwe na rangi ya blue.., au atleast ya kijani, hata njano sio mbaya sana.., lakini nyekundu hunitisha sana hasa ninapoiangalia. hivi hakuna uwezekano wowte watu tukawa na damu za blue eti?

Habari,

Sisi viumbe hai tunaoishi kwenye hii sayari na nchi kavu tuna aina ya damu yenye rangi nyekundu kulingana na utegemezi wetu wa hewa ya oksijeni na uwiano wake wa kiujazo katika hewa yenyewe.

Rangi yetu ya damu ni nyekundu kutokana na elementi iliyo ni madini ya chuma na elementi chuma kama zilivyo elementi zingine zinazonasibika kuweko katika kundi 'transition elements', pia kuitwa 'd-block transition elements'(elementi zenye kuweza kubadilika nguvu ya kuunganika na nyingine ili kufanya kampaundi; na hivi kuweza kuathiri 'muundiko wa kikemikali' na tabia ya kampaundi yenyewe inayoishia kufanyika.)

'Transition elements ' zote zinatabia ya kufanya kampaundi zenye rangi. Chuma hufanya kampaundi za rangi nyekundu ama nyekundu-kahawia; Shaba, (Copper, Kng-- Cu) hufanya kampaundi za kibluu ama kijani bluu...

Fomula ya kampaundi ya chuma yenye kuzipa damu zetu rangi nyekundu, Hemoglobini, ni karibia ile ile kwa kampaundi inayofanya usanisi wa mwanga-- Klorofili, isipokuwa pahala pa elementi ya chuma huchukuliwa na elementi ya Magneziamu. Klorofili huleta rangi ya kijani kwa mimea. [1]

Vipo viumbe vyenye damu ya kijani na hata ya bluu. Na hivi kimsingi huwa na damu ya msingi wa elementi ya shaba na si chuma. [2]

Pia kama unafuatilia matukio ya kuokotwa kwa miili ya viumbe vilivyopata ajali duniani na visivyo na asili ya dunia hii, taarifa zilizopo kulingana na wachunguzi, ni kuwa-- baadhi ya hivi viumbe miili yao ina damu yenye misingi ya elementi ya shaba na hivi kupendekeza picha ya kwamba sayari zao enyeji huenda zina hewa ya oksijeni kiasi (haba, kwa kuwa shaba inaufanisi zaidi wa kubeba oksijeni kuzunguka miilini) tofauti na hapa kwetu. Sehemu kubwa ya hewa sayarini kwetu inafanywa na Naitrojeni kwa takriban 78%, kufuatia Oksijeni 21%, kiasi kidogo kubaki kufanywa na gesi nobeli (Noble Gases, gesi zinazojikidhi na kutohitaji kufumaniana na nyingine) na daioksaidi ya kaboni. [3]

***
Rejea
(1)
Chlorophyll, Hemoglobin and Hemacyanin:
The Three Molecules of Life
Chlorophyll, Hemoglobin and Hemacyanin: The Three Molecules of Life

(2)
What Animals Have Copper-Based Blood?
What Animals Have Copper-Based Blood? | Animals - PawNation

(3)
Alien Races
Alien Races
 
we itakuwa umekuwa inspired na movie inayoitwa world's end...
 
Habari,

Sisi viumbe hai tunaoishi kwenye hii sayari na nchi kavu tuna aina ya damu yenye rangi nyekundu kulingana na utegemezi wetu wa hewa ya oksijeni na uwiano wake wa kiujazo katika hewa yenyewe.

Rangi yetu ya damu ni nyekundu kutokana na elementi iliyo ni madini ya chuma na elementi chuma kama zilivyo elementi zingine zinazonasibika kuweko katika kundi 'transition elements', pia kuitwa 'd-block transition elements'(elementi zenye kuweza kubadilika nguvu ya kuunganika na nyingine ili kufanya kampaundi; na hivi kuweza kuathiri 'muundiko wa kikemikali' na tabia ya kampaundi yenyewe inayoishia kufanyika.)

'Transition elements ' zote zinatabia ya kufanya kampaundi zenye rangi. Chuma hufanya kampaundi za rangi nyekundu ama nyekundu-kahawia; Shaba, (Copper, Kng-- Cu) hufanya kampaundi za kibluu ama kijani bluu...

Fomula ya kampaundi ya chuma yenye kuzipa damu zetu rangi nyekundu, Hemoglobini, ni karibia ile ile kwa kampaundi inayofanya usanisi wa mwanga-- Klorofili, isipokuwa pahala pa elementi ya chuma huchukuliwa na elementi ya Magneziamu. Klorofili huleta rangi ya kijani kwa mimea. [1]

Vipo viumbe vyenye damu ya kijani na hata ya bluu. Na hivi kimsingi huwa na damu ya msingi wa elementi ya shaba na si chuma. [2]

Pia kama unafuatilia matukio ya kuokotwa kwa miili ya viumbe vilivyopata ajali duniani na visivyo na asili ya dunia hii, taarifa zilizopo kulingana na wachunguzi, ni kuwa-- baadhi ya hivi viumbe miili yao ina damu yenye misingi ya elementi ya shaba na hivi kupendekeza picha ya kwamba sayari zao enyeji huenda zina hewa ya oksijeni kiasi (haba, kwa kuwa shaba inaufanisi zaidi wa kubeba oksijeni kuzunguka miilini) tofauti na hapa kwetu. Sehemu kubwa ya hewa sayarini kwetu inafanywa na Naitrojeni kwa takriban 78%, kufuatia Oksijeni 21%, kiasi kidogo kubaki kufanywa na gesi nobeli (Noble Gases, gesi zinazojikidhi na kutohitaji kufumaniana na nyingine) na daioksaidi ya kaboni. [3]

***
Rejea
(1)
Chlorophyll, Hemoglobin and Hemacyanin:
The Three Molecules of Life
Chlorophyll, Hemoglobin and Hemacyanin: The Three Molecules of Life

(2)
What Animals Have Copper-Based Blood?
What Animals Have Copper-Based Blood? | Animals - PawNation

(3)
Alien Races
Alien Races

Ulikua wapi mzee niliwahi kuandika humu jf kwamba ,jua sio moja tu hili tunaloliona ,yapo majua mengine na yana solar system zake, na viumbe vyake wa huko ni tofauti kutokana na hizo solar system zinazowazunguka ,wapo viumbe wa rangi nyingi tu blue kijani kijivu nk, na hata viungo miguu mi 3,au 4 macho 3 au 4 na damu rangi tofauti za blue kijani nyeusi nk, wapo waliotuzidi maarifa na wapo tumewazidi maarifa, nikajibiwa naangalia sana movie za star trek hakuna kitu kama hicho, nikauliza mwisho wa ulimwengu ni wapi
 
minuz na mose mbona mnanichanganya yaani hivi ni vitu vipya kabisa kusikia natamani kuvielewa lakini akili inakuwa nzito agrrr
 
Last edited by a moderator:
Ulikua wapi mzee niliwahi kuandika humu jf kwamba ,jua sio moja tu hili tunaloliona ,yapo majua mengine na yana solar system zake, na viumbe vyake wa huko ni tofauti kutokana na hizo solar system zinazowazunguka ,wapo viumbe wa rangi nyingi tu blue kijani kijivu nk, na hata viungo miguu mi 3,au 4 macho 3 au 4 na damu rangi tofauti za blue kijani nyeusi nk, wapo waliotuzidi maarifa na wapo tumewazidi maarifa, nikajibiwa naangalia sana movie za star trek hakuna kitu kama hicho, nikauliza mwisho wa ulimwengu ni wapi

Naam,

Uwezekano wa uhai kungine si jambo la kubisha.

Namna za watu kutoka kungine 'juu' nalo si jambo geni, hata kwenye mapokeo ya simulizi katika makabila yetu yapo. Binafsi nilishangazwa kusikia visa vya kuonekana watu fulani weupe katika milima fulani ninayoifahamu hapa Dodoma--mahala fulani nilipokulia. Lakini katika kudadisi kumbe simulizi hata kuonekana 'vyombo vya ajabu' vikipaa toka mlima mmoja hadi mwingine ni kati simulizi mabibi zetu wamepata kutusimulia tukiwa wadogo--hili kwa mfano nilikumbushwa na binamu yangu kuhusu hata mimi na ndugu zangu kupatwa kusimuliwa... Well, unafikiri asili ya neno 'Mzungu' ni nini? Google kwa mfano, Credo Mutwa, mganga wa jadi wa ki-Zulu, anasemaje kuhusiana nalo...

Hapana shaka, Credo Mutwa ni mwanahistoria wa jadi mwenye urithi wa mengi kuliko hata wazee wangu niliopata kuishi ama kukutana nao; mfuatilie na utajifunza mengi.

... Tena Credo Mutwa ana visa mithili ya 'Visa vya Akajase Mbamba'... Mdadisi kisa cha yeye kula nyama ya viumbe vilivyodondoka na kufa maeneo ya kwao, Afrika Kusini. Yeye anasema kula nyama ya hao viumbe imekuwa ni 'jadi ya kiganga' lakini ni yenye kufuatiwa na mateso mazito. Nyama yao ina ladha ya chuma chuma na harufu kama ya shaba kwenye ulimi -- na sababu ya wao kuila, si kwa kushiba, ila ni kutokana na hiyo kuwa na sifa kufungua milango ya fahamu na kuboresha hisia kwa muda; jambo lenye kuchochea akili na fahamu isivyokawaida; japo hudhuru mwili wa mwanadamu kama vile namna ya picha ya 'sumu' inayosumbua sana na kuithiri ngozi ngozi ya mlaji kwa hata siku kadhaa... Na waganga hawa mahiri kwa hili, hufanya haya wakijua adha yake hiyo ya 'kugagamaza magamba yenye kuuma na kusumbua sana'; na namna ya kupunguza madhara yake kwa kutumia mafuta ya mmea, kupaa katika ngozi.

Si shauri kwa udadisi ufikirie kuonja kipande cha nyama ya mzoga wa hao viumbe, la hasha. Ila haya ni 'mambo ya mizungu' ambayo kwa mara ya kwanza nimepata kumuona na kumsikia mganga wa kiafrika akizungumza--mengi yanayokaribia hata ukweli mwingine wa mambo. Na mzee huyu kayafanya haya yote kusudi sisi watoto wa Afrika tupate kujua baadhi ya haya mambo toka kwa wakubwa zetu sisi wenyewe, tujifunze.

Ipo namna nyingi ya kutafuta kujua kuhusu viumbe watu kutoka nje ya dunia. Lakini ikiwa kuna sababu, basi kuu ni moja. Wewe na mimi pia ni viumbe watu katika sayari hii ambao labda hatujajua uwezo, mawezakano, fahari na ustawi wa kunasibika uhai katika nukta hii ya ulimwengu.

Na ikiwa mimi na wewe tuwe kuzungumza haya, nitapenda sana iwe katika kusaka uwezo na nguvu toka ndani ili kuthibitisha na wewe unaweza kupambazuka kiimani na uwezo ili uweze kuirithi fahari yako katika nyota.

Je, Utapenda hivi?
 
Habari,

Sisi viumbe hai tunaoishi kwenye hii sayari na nchi kavu tuna aina ya damu yenye rangi nyekundu kulingana na utegemezi wetu wa hewa ya oksijeni na uwiano wake wa kiujazo katika hewa yenyewe.

Rangi yetu ya damu ni nyekundu kutokana na elementi iliyo ni madini ya chuma na elementi chuma kama zilivyo elementi zingine zinazonasibika kuweko katika kundi 'transition elements', pia kuitwa 'd-block transition elements'(elementi zenye kuweza kubadilika nguvu ya kuunganika na nyingine ili kufanya kampaundi; na hivi kuweza kuathiri 'muundiko wa kikemikali' na tabia ya kampaundi yenyewe inayoishia kufanyika.)

'Transition elements ' zote zinatabia ya kufanya kampaundi zenye rangi. Chuma hufanya kampaundi za rangi nyekundu ama nyekundu-kahawia; Shaba, (Copper, Kng-- Cu) hufanya kampaundi za kibluu ama kijani bluu...

Fomula ya kampaundi ya chuma yenye kuzipa damu zetu rangi nyekundu, Hemoglobini, ni karibia ile ile kwa kampaundi inayofanya usanisi wa mwanga-- Klorofili, isipokuwa pahala pa elementi ya chuma huchukuliwa na elementi ya Magneziamu. Klorofili huleta rangi ya kijani kwa mimea. [1]

Vipo viumbe vyenye damu ya kijani na hata ya bluu. Na hivi kimsingi huwa na damu ya msingi wa elementi ya shaba na si chuma. [2]

Pia kama unafuatilia matukio ya kuokotwa kwa miili ya viumbe vilivyopata ajali duniani na visivyo na asili ya dunia hii, taarifa zilizopo kulingana na wachunguzi, ni kuwa-- baadhi ya hivi viumbe miili yao ina damu yenye misingi ya elementi ya shaba na hivi kupendekeza picha ya kwamba sayari zao enyeji huenda zina hewa ya oksijeni kiasi (haba, kwa kuwa shaba inaufanisi zaidi wa kubeba oksijeni kuzunguka miilini) tofauti na hapa kwetu. Sehemu kubwa ya hewa sayarini kwetu inafanywa na Naitrojeni kwa takriban 78%, kufuatia Oksijeni 21%, kiasi kidogo kubaki kufanywa na gesi nobeli (Noble Gases, gesi zinazojikidhi na kutohitaji kufumaniana na nyingine) na daioksaidi ya kaboni. [3]

***
Rejea
(1)
Chlorophyll, Hemoglobin and Hemacyanin:
The Three Molecules of Life
Chlorophyll, Hemoglobin and Hemacyanin: The Three Molecules of Life

(2)
What Animals Have Copper-Based Blood?
What Animals Have Copper-Based Blood? | Animals - PawNation

(3)
Alien Races
Alien Races
Excellent..!
 
Back
Top Bottom