Hivi ni kwanini Damu haina rangi ya blue..?!

Hivi ni kwanini Damu haina rangi ya blue..?!

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
40,530
Reaction score
46,614
Binafsi nilikuwa napenda niwe na rangi ya blue.., au atleast ya kijani, hata njano sio mbaya sana.., lakini nyekundu hunitisha sana hasa ninapoiangalia. hivi hakuna uwezekano wowte watu tukawa na damu za blue eti?
 
ingekua blue basi blue ingekutisha vilevile ungeomba nyekundu..

Sasa for the sake ya wale wadogo zetu walio mashuleni kama wanatafuta jibu ya hili swali....

Damu rangi yake inatokana na protein iliyomo ndani yake, ijulikanayo kama hemoglobin ambayo hii ni nyekundu sababu ina madini ya chuma "iron" ambayo yakikutana na oxygen yanakua na rangi nyekundu...
Pia kuna mishipa ya damu ambayo inapeleka damu ambayo haina oxygen kwenye moyo "Veins".. Hii kwa kawaida hua ina rangi ya blue.. kwa sisi waafrika ni ngumu kuona, ila mtu mwenye rangi nyeupe kama mzungu ukiangalia mishipa yao mara nyingi kwenye mkono utaona rangi ya blue...
 
Kwa sababu ilimwaga damu nyingi sana inavyotaka kuyatawala maji mwilini
 
mbona panzi ana damu y kijani
 
Binafsi nilikuwa napenda niwe na rangi ya blue.., au atleast ya kijani, hata njano sio mbaya sana.., lakini nyekundu hunitisha sana hasa ninapoiangalia. hivi hakuna uwezekano wowte watu tukawa na damu za blue eti?

Kama ingekuwa hivyo tangu mwanzo, basi leo hii ungelitaman damu hiwe rangi nyekundu, maaba hizo zingekutisha pia
 
Binafsi nilikuwa napenda niwe na rangi ya blue.., au atleast ya kijani, hata njano sio mbaya sana.., lakini nyekundu hunitisha sana hasa ninapoiangalia. hivi hakuna uwezekano wowte watu tukawa na damu za blue eti?

kuna vitu vingi sana si vizuri kwa afya ya mwanadamu kimojawapo ni bangi, bangi inaathiri afya ya akili
 
Rangi nyekundu ni ishara ya upendo
 
Maswali mengine hayana hata mantiki, siku nyingine utakuja na swali la kwanin binadamu wanatembea kwa miguu miwili na sio mitatu.
Muulize aliekuumba.
Nature is not explained, take it as it is.
 
Damu ni nyekundu kwa sababu inaundwa na chembechembe zilizo nyekundu.

Chembehai nyekundu zimetengenezwa na hemoglobin, ambazo zimetengenezwa na hemes, ambazo huipa hemoglobin rangi nyekundu.

UCSB Science Line sqtest
 
Maswali mengine hayana hata mantiki, siku nyingine utakuja na swali la kwanin binadamu wanatembea kwa miguu miwili na sio mitatu.
Muulize aliekuumba.
Nature is not explained, take it as it is.

Kama kila binadamu angekuwa anafikiri hivi, hata kukaa kwenye mapango tusingefika, licha ya kupita.

Kama kila binadamu angesema "Nature is not explained, take it as it is", usingekuwa na mtandao wa kuandika hayo leo.

Usingekuwa hata na maandishi.
 
Back
Top Bottom