Pole ndugu, Sasa subiri afe uone hao nduguzo watakavyochanga mihela hiyo-ya kusafirishia mpaka huko kwao, kamera, muziki kwa waombolezaji, corona la kubebea na sanduku liliopambwa, chakula kutoka kwa katara (catere) maarufu, viti vya kukodi, mpambaji wa eneo la msiba na mengineyo bila kusahau kamera mazikoni