Hivi ni kwa nini watu hawaipendi TRA?

Malyenge

JF-Expert Member
Jan 16, 2012
6,658
3,645
Wakuu, mimi nauliza swali hili kama vile ni jepesi au majibu yake ni mepesi lakini siamini kuwa swali hili ni jepesi au majibu yake ni mepesi. Kuna taasisi moja ya serikali inaitwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA). Kumekuwa na dhana ya kuilaumu sana ama kusema maneno mabaya sana juu ya taasisi hii. Yaani watu hawaipendi kabisa. Kwa mimi ninayeijua taasisi hii imeleta maendeleo makubwa sana ya makusanyo ya mapato toka ianzishwe mwaka 1995 na kuanza kazi mwaka 1996.
Lakini cha kusikitisha ni kuwa tokea taasisi hiyo ianzishwe kumekuwa na maneno ambayo si mazuri sana kwa taasisi hii ingawa imekuwa ikifanya vizuri sana. Kikubwa inachosemwa vibaya ni rushwa na ukabila. Wanajamii hivi pamoja na mazuri yote TRA iliyoyafanya hakuna hata sifa inayostahili? Kwa nini inasemwa vibaya hivyo? Watanzania wanataka nini juu ya TRA. Ifutwe na kuanzishwa taasisi nyingine? Je ikifutwa hamuoni kuwa nchi itayumba sana kiuchumi maana makusanyo yatashuka? Mimi mpaka hapo sijaelewa kwa nini TRA inasemwa sana kiasi cha kupindukia, naomba nielimishwe kwa faida ya Watanzania wote.
Naomba kuwasilisha.
 
mkusanya kodi yeyote ni kama displine master anavyochukiwa na kila mtu japo ni muhimu kuwepo sana
 
Ni official corruptive government organization. Kule ruksa mishahara kuwa juu kwa kiwango cha kimataifa, ruksa wafanyakazi wake kujirundikia mali za wizi na uporaji kwa wafanya biashara. Wanaruhusiwa kupanga bei zao kwa mzigo ulionunua nje pasipo kuthamini risiti za nje ya nchi kwa kukupangia kodi kama "hutashirikiana" nao.......
 
Wanasumbua walipa kodi badala ya kuwapa moyo wa kulipa kodi. Mfano ukitaka TIN Number inabidi uwanyentyekee badala ya wao kukunyenyekea wewe.
 
Wakuu, mimi nauliza swali hili kama vile ni jepesi au majibu yake ni mepesi lakini siamini kuwa swali hili ni jepesi au majibu yake ni mepesi. Kuna taasisi moja ya serikali inaitwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA). Kumekuwa na dhana ya kuilaumu sana ama kusema maneno mabaya sana juu ya taasisi hii. Yaani watu hawaipendi kabisa. Kwa mimi ninayeijua taasisi hii imeleta maendeleo makubwa sana ya makusanyo ya mapato toka ianzishwe mwaka 1995 na kuanza kazi mwaka 1996.
Lakini cha kusikitisha ni kuwa tokea taasisi hiyo ianzishwe kumekuwa na maneno ambayo si mazuri sana kwa taasisi hii ingawa imekuwa ikifanya vizuri sana. Kikubwa inachosemwa vibaya ni rushwa na ukabila. Wanajamii hivi pamoja na mazuri yote TRA iliyoyafanya hakuna hata sifa inayostahili? Kwa nini inasemwa vibaya hivyo? Watanzania wanataka nini juu ya TRA. Ifutwe na kuanzishwa taasisi nyingine? Je ikifutwa hamuoni kuwa nchi itayumba sana kiuchumi maana makusanyo yatashuka? Mimi mpaka hapo sijaelewa kwa nini TRA inasemwa sana kiasi cha kupindukia, naomba nielimishwe kwa faida ya Watanzania wote.
Naomba kuwasilisha.


Mkuu, uliona wapi jambazi anapendwa na watu/umma? Jambazi anapendwa na kutukuzwa na wale anaowalisha ama kuwatunza ila jambazi hana rafiki na hapendwi kamwe.
 
Kwa kuwa wewe ni mfanyakazi wa TRA, tafiti kuhusu aina ya watu wanailalamikia taasisi yako na wale wanaoisifia kama wewe. Utagundua kuwa ni wale wanaonufaika na taasisi hiyo kama vile kufanya biashara kubwa na kutolipa kodi, mishahara yao ni mikubwa kuliko ya watumishi wengine. Aidha, hii taasisi ni Mahiri katika kukusanya kodi kutoka kwa masikini kuliko matajiri !!!
 
Kama kuna tofauti kati ya wanyang'anyi na TRA ni ndogo sana, kwamba majambazi ni informal sector, TRA ni formal sector, basi!.
 
ziko sababu nyingi za watu kuichukia TRA, nitatoa chache wengine wataongezea, kama ifuatavyo-
1. TRA wanaongoza kula rushwa;hawa ni miongoni mwa mafisadi papa,

2. TRA hawakusanyi kodi kutoka kwa matajiri bali kwa maskini, ndiyo maana utakuta TAJIRI ANATAKIWA ALIPE KODI 3.2 bilioni lakini analipa milioni 200, ushahidi upo. Cha kusikitisha maskini anakamuliwa alipe hadi senti ya mwisho

3. TRA wanawasaidia wafanya biashara wakubwa kukwepa kodi, moja ya mbinu kubwa inayotumiwa ni kuleta bidhaa kama transit kwenda nje ya nchi kama zambia/zimbabwe kupitia bandari yetu, hivyo hawatozwi kodi, lkn zikitolewa zinaingizwa ktk magodown mjini, kufunguliwa na kuingizwa sokoni. hili linafanywa kwa ushirikiano na watu wa TRA,

4. makamishina wa TRA wana ubia na wafanyabiashara wakubwa, ndio maana hata wakikamatwa na maofisa wa TRA, Maofia hupigiwa simu na mabosi wao na kuambiwa waaachie bila masharti yoyote? je baada ya hapo unatarajia nini kinaendelea? rushwa/bahasha???? etc

5.TRA wanatumiwa na chama cha magamba yaani c-c-m kuhujumu uchumi, kila anayechangia chama anapewa msamaha wa kodi ingawa huwa haisemwi bayana humu wamo hata akina home shopping centre;

6.TRA wanatumiwa na chama cha magamba yaani ce-ce-m kuwakandamiza wafanyabiashara wanaowasaidia vyama vya upinzani kwa kuwafilisi kabisa endapo hawatafuata masharti ya chama tawala.
Mifano
(a) kuna mfanyabiashara DODOMA alimpokea Mrema akiwa NCCR -Mageuzi 1995 na kumhudumia kwa kila kila. Ce-ce-m walituma Maofisa/makamishina wa TRA kutoka DSM kwenda kutathmini kodi anayotakiwa kulipa serikalini, hesabu waliompa hata kama angeuza mali zote za dukani asingeweza kumaliza kulipa kodi hiyo. kisha akaambiwa kwani shida yake ni nini, aache kusaidia upinzani mambo yake yatarekebishwa mara moja, alipokubali, kila kitu kikarudishwa katika uhalisia.

(b)Muulizeni Bakhresa(AZAM), upinzani ulipoanza alikuwa anawasaidia CUF/chama cha upinzani fedha za kampeni, Ngano yake aliyokuwa ameagiza kutoka Kilimanjaro iliyopitia bandari ya Tanga kuja bandari ya DSM,ilitangazwa kuwa ni hatari kwa afya ya walaji, walimtumia mkemia mkuu wa serikali, kisha ngano yote ilibebwa na malori ya Jeshi na kwenda kumwagwa Pugu kisha kuchomwa moto. kumbuka ngano hii ilikuwa imetoka kwa wakulima anaonunua miaka yote? Ndio maana unaona Bakhresa mapenzi yake kahamishia kwenye biashara zake, mpira wa Miguu na kaachana na siasa.

7. TRA hawakusanyi kodi na ndio wanaofanya nchi hadi leo haiendelei, nawaambia TRA wangeamua kukusanya kodi tusingehitaji fedha za wafadhili kuendesha nchi. Kenya wana nini cha maana lkn mbona nchi yao inaweza kuendeshwa bila misaada ya wafadhili? matokeo yake kodi zetu zinakusanyiwa mifukoni mwao na ndio maana watumishi wa TRA wana nyumba nyingi na ambazo wanaogopa hata kuishi humo. hebu fikiria unakuta mtumishi wa kawaida tu wa TRA ana nyumba yenye thamani ya milioni 800, je watumishi wa ngazi ya juu pamoja na makamishina wana nyumba za bilioni ngapi?

Ushahidi upo hatakatika mitaa tunayoishi,

Ingekuwa amri yangu, ningeifuta TRA na kuiunda upya ikiwa na sura mpya zisizo na harufu ya chama cha magamba kwani huu ni uhai wa taifa.Nchi ikiendelea kutembeza bakuli ndio imefikia wafadhili wanasema tukitaka misaada yao wanaume tushike ukuta/turuhusu ushoga??? je wanaume mnakubali ushenzi wa washenzi hawa wanaokuja kwa jianla wafadhili wakati wanaturudishia walichotuibia miaka ya ukoloni????

nanga natia naita mjadala upenuni
 
ziko sababu nyingi za watu kuichukia TRA, nitatoa chache wengine wataongezea, kama ifuatavyo-
1. TRA wanaongoza kula rushwa;hawa ni miongoni mwa mafisadi papa,

2. TRA hawakusanyi kodi kutoka kwa matajiri bali kwa maskini, ndiyo maana utakuta TAJIRI ANATAKIWA ALIPE KODI 3.2 bilioni lakini analipa milioni 200, ushahidi upo. Cha kusikitisha maskini anakamuliwa alipe hadi senti ya mwisho

3. TRA wanawasaidia wafanya biashara wakubwa kukwepa kodi, moja ya mbinu kubwa inayotumiwa ni kuleta bidhaa kama transit kwenda nje ya nchi kama zambia/zimbabwe kupitia bandari yetu, hivyo hawatozwi kodi, lkn zikitolewa zinaingizwa ktk magodown mjini, kufunguliwa na kuingizwa sokoni. hili linafanywa kwa ushirikiano na watu wa TRA,

4. makamishina wa TRA wana ubia na wafanyabiashara wakubwa, ndio maana hata wakikamatwa na maofisa wa TRA, Maofia hupigiwa simu na mabosi wao na kuambiwa waaachie bila masharti yoyote? je baada ya hapo unatarajia nini kinaendelea? rushwa/bahasha???? etc

5.TRA wanatumiwa na chama cha magamba yaani c-c-m kuhujumu uchumi, kila anayechangia chama anapewa msamaha wa kodi ingawa huwa haisemwi bayana humu wamo hata akina home shopping centre;

6.TRA wanatumiwa na chama cha magamba yaani ce-ce-m kuwakandamiza wafanyabiashara wanaowasaidia vyama vya upinzani kwa kuwafilisi kabisa endapo hawatafuata masharti ya chama tawala.
Mifano
(a) kuna mfanyabiashara DODOMA alimpokea Mrema akiwa NCCR -Mageuzi 1995 na kumhudumia kwa kila kila. Ce-ce-m walituma Maofisa/makamishina wa TRA kutoka DSM kwenda kutathmini kodi anayotakiwa kulipa serikalini, hesabu waliompa hata kama angeuza mali zote za dukani asingeweza kumaliza kulipa kodi hiyo. kisha akaambiwa kwani shida yake ni nini, aache kusaidia upinzani mambo yake yatarekebishwa mara moja, alipokubali, kila kitu kikarudishwa katika uhalisia.

(b)Muulizeni Bakhresa(AZAM), upinzani ulipoanza alikuwa anawasaidia CUF/chama cha upinzani fedha za kampeni, Ngano yake aliyokuwa ameagiza kutoka Kilimanjaro iliyopitia bandari ya Tanga kuja bandari ya DSM,ilitangazwa kuwa ni hatari kwa afya ya walaji, walimtumia mkemia mkuu wa serikali, kisha ngano yote ilibebwa na malori ya Jeshi na kwenda kumwagwa Pugu kisha kuchomwa moto. kumbuka ngano hii ilikuwa imetoka kwa wakulima anaonunua miaka yote? Ndio maana unaona Bakhresa mapenzi yake kahamishia kwenye biashara zake, mpira wa Miguu na kaachana na siasa.

7. TRA hawakusanyi kodi na ndio wanaofanya nchi hadi leo haiendelei, nawaambia TRA wangeamua kukusanya kodi tusingehitaji fedha za wafadhili kuendesha nchi. Kenya wana nini cha maana lkn mbona nchi yao inaweza kuendeshwa bila misaada ya wafadhili? matokeo yake kodi zetu zinakusanyiwa mifukoni mwao na ndio maana watumishi wa TRA wana nyumba nyingi na ambazo wanaogopa hata kuishi humo. hebu fikiria unakuta mtumishi wa kawaida tu wa TRA ana nyumba yenye thamani ya milioni 800, je watumishi wa ngazi ya juu pamoja na makamishina wana nyumba za bilioni ngapi?

Ushahidi upo hatakatika mitaa tunayoishi,

Ingekuwa amri yangu, ningeifuta TRA na kuiunda upya ikiwa na sura mpya zisizo na harufu ya chama cha magamba kwani huu ni uhai wa taifa.Nchi ikiendelea kutembeza bakuli ndio imefikia wafadhili wanasema tukitaka misaada yao wanaume tushike ukuta/turuhusu ushoga??? je wanaume mnakubali ushenzi wa washenzi hawa wanaokuja kwa jianla wafadhili wakati wanaturudishia walichotuibia miaka ya ukoloni????

nanga natia naita mjadala upenuni
 
Kazi yao nikukusnya kodi kwa watu wa chini sio wafanya biashara wakubwa kamwe,wezi wakubwa hamna mtu asiyejua hawa ni wezi wla rushwa wala usiwatetee wache hivyo hivyo ati
 
1.basi mm ngoja nitaje mazuri ya tra
wamejitahidi kujenga urafiki na walipa kodi kupitia idara ya taxpayer services and education,kama unabisha nenda pale makao makuu
sokoine st,reception utapokelewa vizuri na softdrinks utapata

2.mwaka huu wa fedha watakusanya trillion 8.078 na zaidi kama bajeti inavyosema

3.wanatoa ajira bila upendeleo

kama umechukia nipigie nikuelimishe zaidi kuhusu TRA 0786 800 000
 
ziko sababu nyingi za watu kuichukia TRA, nitatoa chache wengine wataongezea, kama ifuatavyo-
1. TRA wanaongoza kula rushwa;hawa ni miongoni mwa mafisadi papa,

2. TRA hawakusanyi kodi kutoka kwa matajiri bali kwa maskini, ndiyo maana utakuta TAJIRI ANATAKIWA ALIPE KODI 3.2 bilioni lakini analipa milioni 200, ushahidi upo. Cha kusikitisha maskini anakamuliwa alipe hadi senti ya mwisho

3. TRA wanawasaidia wafanya biashara wakubwa kukwepa kodi, moja ya mbinu kubwa inayotumiwa ni kuleta bidhaa kama transit kwenda nje ya nchi kama zambia/zimbabwe kupitia bandari yetu, hivyo hawatozwi kodi, lkn zikitolewa zinaingizwa ktk magodown mjini, kufunguliwa na kuingizwa sokoni. hili linafanywa kwa ushirikiano na watu wa TRA,

4. makamishina wa TRA wana ubia na wafanyabiashara wakubwa, ndio maana hata wakikamatwa na maofisa wa TRA, Maofia hupigiwa simu na mabosi wao na kuambiwa waaachie bila masharti yoyote? je baada ya hapo unatarajia nini kinaendelea? rushwa/bahasha???? etc

5.TRA wanatumiwa na chama cha magamba yaani c-c-m kuhujumu uchumi, kila anayechangia chama anapewa msamaha wa kodi ingawa huwa haisemwi bayana humu wamo hata akina home shopping centre;

6.TRA wanatumiwa na chama cha magamba yaani ce-ce-m kuwakandamiza wafanyabiashara wanaowasaidia vyama vya upinzani kwa kuwafilisi kabisa endapo hawatafuata masharti ya chama tawala.
Mifano
(a) kuna mfanyabiashara DODOMA alimpokea Mrema akiwa NCCR -Mageuzi 1995 na kumhudumia kwa kila kila. Ce-ce-m walituma Maofisa/makamishina wa TRA kutoka DSM kwenda kutathmini kodi anayotakiwa kulipa serikalini, hesabu waliompa hata kama angeuza mali zote za dukani asingeweza kumaliza kulipa kodi hiyo. kisha akaambiwa kwani shida yake ni nini, aache kusaidia upinzani mambo yake yatarekebishwa mara moja, alipokubali, kila kitu kikarudishwa katika uhalisia.

(b)Muulizeni Bakhresa(AZAM), upinzani ulipoanza alikuwa anawasaidia CUF/chama cha upinzani fedha za kampeni, Ngano yake aliyokuwa ameagiza kutoka Kilimanjaro iliyopitia bandari ya Tanga kuja bandari ya DSM,ilitangazwa kuwa ni hatari kwa afya ya walaji, walimtumia mkemia mkuu wa serikali, kisha ngano yote ilibebwa na malori ya Jeshi na kwenda kumwagwa Pugu kisha kuchomwa moto. kumbuka ngano hii ilikuwa imetoka kwa wakulima anaonunua miaka yote? Ndio maana unaona Bakhresa mapenzi yake kahamishia kwenye biashara zake, mpira wa Miguu na kaachana na siasa.

7. TRA hawakusanyi kodi na ndio wanaofanya nchi hadi leo haiendelei, nawaambia TRA wangeamua kukusanya kodi tusingehitaji fedha za wafadhili kuendesha nchi. Kenya wana nini cha maana lkn mbona nchi yao inaweza kuendeshwa bila misaada ya wafadhili? matokeo yake kodi zetu zinakusanyiwa mifukoni mwao na ndio maana watumishi wa TRA wana nyumba nyingi na ambazo wanaogopa hata kuishi humo. hebu fikiria unakuta mtumishi wa kawaida tu wa TRA ana nyumba yenye thamani ya milioni 800, je watumishi wa ngazi ya juu pamoja na makamishina wana nyumba za bilioni ngapi?

Ushahidi upo hatakatika mitaa tunayoishi,

Ingekuwa amri yangu, ningeifuta TRA na kuiunda upya ikiwa na sura mpya zisizo na harufu ya chama cha magamba kwani huu ni uhai wa taifa.Nchi ikiendelea kutembeza bakuli ndio imefikia wafadhili wanasema tukitaka misaada yao wanaume tushike ukuta/turuhusu ushoga??? je wanaume mnakubali ushenzi wa washenzi hawa wanaokuja kwa jianla wafadhili wakati wanaturudishia walichotuibia miaka ya ukoloni????

nanga natia naita mjadala upenuni

naomba mdau unipigie 0786 800 000, nikuelimishe kuhusu TRA,Maana mpaka unatukana hivyo!utachuma dhambi bure kwa MUNGU
 
Wakuu, mimi nauliza swali hili kama vile ni jepesi au majibu yake ni mepesi lakini siamini kuwa swali hili ni jepesi au majibu yake ni mepesi. Kuna taasisi moja ya serikali inaitwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA). Kumekuwa na dhana ya kuilaumu sana ama kusema maneno mabaya sana juu ya taasisi hii. Yaani watu hawaipendi kabisa. Kwa mimi ninayeijua taasisi hii imeleta maendeleo makubwa sana ya makusanyo ya mapato toka ianzishwe mwaka 1995 na kuanza kazi mwaka 1996.
Lakini cha kusikitisha ni kuwa tokea taasisi hiyo ianzishwe kumekuwa na maneno ambayo si mazuri sana kwa taasisi hii ingawa imekuwa ikifanya vizuri sana. Kikubwa inachosemwa vibaya ni rushwa na ukabila. Wanajamii hivi pamoja na mazuri yote TRA iliyoyafanya hakuna hata sifa inayostahili? Kwa nini inasemwa vibaya hivyo? Watanzania wanataka nini juu ya TRA. Ifutwe na kuanzishwa taasisi nyingine? Je ikifutwa hamuoni kuwa nchi itayumba sana kiuchumi maana makusanyo yatashuka? Mimi mpaka hapo sijaelewa kwa nini TRA inasemwa sana kiasi cha kupindukia, naomba nielimishwe kwa faida ya Watanzania wote.
Naomba kuwasilisha.

mpendwa malyenge usipende kusikia habari za mtaani,watanzania asili ya ni majungu,kama unawajua wala rushwa ripoti ktk vyombo husika,sio kuwa mlalamishi
 
Kweli kama ilivyosemwa juu, mie nina chuki sana na TRA kwa sababu ya kubana watu wa kawaida kwenye kodi na kuwaachia matajiri na wenye viwanda mianya mikubwa ya kukwepa kodi.

Angalia ukifika airport toka nje na beg lako moja tu, wanakusumbua, wakague beg, wapindue pindue chupi zako, nk. Wakikuta kitu kidogo wakwambie lipa kodi, ujinga mtupu. Sasa kama wangekuwa wanafanya hivi pale bandarini kwa makontena yanayoingia sawa na ukaguzi wa vijibeg vya watu airport nadhani tungekuwa hatuombi msaada kutoka nje kusaidia bajeti yetu. TRA wanaruhusu under-declaration ya imports kwa kaisi kikubwa mno. Unaagiza makontena mawili ya vinywaji vikali, utalipia kodi ya sawa na kontena moja, ikiwa utakubali kuwakatia. Kila mtu anajua hili.

Sasa mimi nisiye mfanya biashara bali mtu wa kusumbuliwa airport na chupa yangu moja ya Jack Daniels nachukia mno nikijua watu wana-gey away with murder kwenye suala la kulipa kodi, na inanifanya nijitahidi angalau kukaficha kachupa kangu ka Jack Daniels nikileta toka nje! Nani anapenda kupinduliwa pinduliwa chupi zake airport akitoka nje?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom