Daah,bi maza alinunua lotion yake nkapita nayo wima nkamdanganya mtoto "nimekununuli lotion"
Kumbe wewe wa juzi na mobile money ikiwepo.....Dah, nilimdanganyaga dingi angu kuwa kuna njemba linanidai na kasema nikilaza tu ela kesho yake atanifanya mbaya, dah dingi kuskia hivi fasta akanambia leta namba tutume ela
Hahahahaha
huyo mpenzi wako uliye mpelekea sukari na mchele wa kuiba bado upo nae??
maandazi mkuu demu wangu alikua mpenda kula wa kiwango cha kiwonder... Maninaa
ha haha dhambiDaah,bi maza alinunua lotion yake nkapita nayo wima nkamdanganya mtoto "nimekununuli lotion"
Kwasasa uko wapi vile.Mm sijawahi kwa kweli kwanza sijawahi kuwa na mpnz nikiwa home
NajitegemeaKwasasa uko wapi vile.
hahahaa...Mm sijawahi kwa kweli kwanza sijawahi kuwa na mpnz nikiwa home