Wanaotumiwa ni vibaraka siyo watawala. Refer Libya, Tunisia, Congo n. kHebu tueleze mkuu, wanatukorogaje wakati sisi kutwa kucha tunatembeza bakuli la kuomba misaada kwao?, kwa nini tusijitegemee?.
Unaweza kutwambia msimamo wa magufuli ni upi? Nijuavyo mimi nipo tayar kukosolewa. Msimamo wa mkuu wa nchi hutokana na philosophy/ ideology. Huyo MAGUFULI anamini kwenye nini? Yan mtu kujenga uzio kuzunguka mgodi ndo msimamo? Akajenge kuzunguka bahari, mito , mbuga za wanyama nk. Ama mnadhani mali asili ni madini tu basi? Hakika mwajidanganya sana!Ndiyo maana wazungu hawataki viongozi wa afrika wenye misimamo kama Maguruli, Mgabe, Kagame n. k
Ndiyo maana wazungu hawataki viongozi wa afrika wenye misimamo kama Maguruli, Mgabe, Kagame n. k
Kwa nini Waafrika wasiwachonganishe wazungu? Hivi Afrika na huko wanakotoka hao wazungu wapi kuna utajiri na hali bora za maisha. Kwa nini viongozi wetu hawatuambii ni kwa nini sisi Waafrika kila siku tunachonganishwa na wazungu?Hii clip imeniharibia Siku kabisa..
Ndio maana Mh rais alisema huko mererani tuwe makini watanzania vingenevyo tutachonganishwa na hao wachonganishaji wapate upenyo mzuri wakuiba rasilimali zetu nchini
wNi lini hao wazungu walichagua viongozi wa Afrika wenye mawazo ya kugandamiza wananchi wanaowaongoza kama si waafrika wenyewe wanaowachagua hao viongozi?
Viongozi wa Afrika walipotaka kujitoa ICC kwa hoja kwa nini Marekani haimo ICC, wengine tuliuliza, Rais wa Marekani huwa anaua hovyo raia wake na kukamata wapinzani wake kama wafanyavyo viongozi wa Afrika?
ICC inahusu viongozi wasioheshimu haki za raia wa nchi zao na kwenye nchi ambayo Mahakama ni simba wa kuchora kwenye karatasi!
watu wanauawa kwa kuwa wanaipinga serikali. Ama umeiga tabia ya kukurupuka hadi umejibu bila ya kujua nini kilikuwa kinajadiliwa?Wewe unaijua Marekani au unaiona kwenye picha acha uongo ni Mara ngapi watu wanauawa tena Marekani hasa waafrika. Ulishawahi kufika watu wengine bwana kujidai mnazijua nchi kumbe hamnazo.