Hivi ndivyo wafugaji wengi wa kuku wanavyotapeliwa kwa kuuziwa vifaranga vya uzao wa pili au tatu

Unawajaza watu ujinga kiongozi
Kuku wa kienyeji wanakuwa taratibu sana
Hadi kufikisha hao kuku 3000 kwa kutumua hao kuku 100 utatumia muda mrefu sana
Wakati anayefuga kisasa keshauza kuku hata mara 10 zaidi ya hao ndani ya muda huo
Kuku wa kienyeji labda uwafugw nyumbani kwa ajili ya kula tu sio biashara, utasubiri sana
 
Safi sana
 
ok kuna hoja Mh
1. kuna wakala anae sambaza vifaranga kutoka compun ya Silverlands wa saso miongoni mwao nimeona wamelemaa katika 100 unaweza kuona 20 hawakui kama maelezo uliyo eleza na wakala anasema nikawaida.
2. hayo makampuni kama kweli yana hitaji kulinda soko kwanin hawaja fanya mpango kazi kwaajili ya hii changamoto?
3.ufugaji wa kuku wakisasa unagarama kubwa saana kwa vijijini hilo ukipinga utakosea maana A hao vifaranga sisi huku tunapata kwa awamu 2-4 kwa mwaka
B. bei ya vyakula maalum ni changamoto + dawa na madini mbalimbali ,kwa hoja hii naomba ushauri
 

Mkuu asante kwa shule hii.Ubarikiwe sana
 
Kufuga kuku wa kienyeji ni kurudi nyuma zaidi.

Cha msingi ni kupata kuku chotara kwa watu sahihi .
Kufuga kuku wa kienyeji kuna mafanikio tena makubwa sana tu, kutegemeana na model utayotumia. Mf, sharti uwe na eneo kubwa lenye mazingira sahihi kwao kijitafutia sehemu kubwa ya chakula chao wanapokua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmmh, haya mambo bana. Kila mtu na uzoefu wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cross breeding kama hiyo mara nyingi hupelekea kupatikana kuku fulani wa ajabu sana. Yaani hafikii ubora wa kuku chotara na hana pia vigezo vya kienyeji. Kuwauza hawa ni shughuli. Pia hukua kwa taabu sana. Uzoefu wangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muda mrefu kiasi gani? Dadavua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh! Hao hao Silverland hutoa elimu kuwa sasso asitumike kwa ajili ya mayai kwani ni hasara. Ni special breed kwa ajili ya nyama. Silverlands wanao kuku special wa mayai, siyo sasso.

Kuhusu chakula iko hivi. Kifaranga wa mayai apaswa kula Layer's starter na yule wa nyama apewe broiler starter. Ila kwa kuwa broiler starter "huwakimbiza" vifaranga, wabunifu huwapa vifaranga wa mayai broiler starter kwa wiki 2 au 3 tu na kisha kuendelea na layer feeds.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nawezaje kupata jogoo la kisasa( first generation) ambalo linaweza kumate na kuku tetea wa kawaida nitotoleshe katika incubator na mimi nile vichwa huku kijijini kwangu.

Sent from my Nokia 6.1 Plus using Tapatalk
 
Hapana Mm nina Kuroiler wana Wiki 17 na wana kilo zaidi ya 2...
Hii kitu ya kufuga inahitaji umakini,na ufuatiliaji wa hali ya juuuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kaka ushwah kuwaskia mr. kudu farmers? ndo hao
 
asante mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…