Wakati watanzania wakipigwa viboko na kufungiwa kwenye sero za ofisi za watendaji kwa kushindwa kulipa fedha za ujenzi wa maabala nchini
Kuna habari kwenye gazeti la raia mwema kwamba kuelekea uchaguzi mkuu 2015 CCM imejiandaa kukijaza mapesa chama kipya kilichoanzishwa hivi karibuni ili kiweze kuvuruga jitihada za vyama vya upinzani kuiondoa ccm madarakani. vyama vinavyolengwa ni CHADEMA na CUF ili wanachama wake waondoke na kujiunga na CCM ama hicho chama kipya kilichoanzishwa hivi karibuni.
Na whusika wote wa mpango huu wameishajipanga kukanusha kwamba hawajapewa fedha na CCM na CCM nao watakanusha kwamba hawakutoa fedha kwa hicho chama.
RAIA MWEMA (UK 11)na silvester Hanga
My Take
Mfano mzuri ni yule diwani wa CUF kule Tanga aliyehama cuf na kujiunga na ccm lakini bado anaruhusiwa kuingia kwenye vikao vya baraza la madiwani wakati mtu ukihama chama UBUNGE AU UDIWANI UNAKUWA UMEKOMA KUANZNIA SIKU ULIYOHAMA CHAMA
Kutokana na tuhuma zilizo tolewa na wale madiwani waliokuwa wanataka kununuliwa kule shinyanga na kuhama chama chao kwamba chama ACT kimeanzishwa na ccm ili kugawa wanachama wa chadema. Tunahitaji mtoke nje mje mkanushe hizi taarifa maana hamna chama kingine kimeanzishwa kimkatati hivi karibuni zaidi ya a ACT ya mwigamba na MM.
Kuna habari kwenye gazeti la raia mwema kwamba kuelekea uchaguzi mkuu 2015 CCM imejiandaa kukijaza mapesa chama kipya kilichoanzishwa hivi karibuni ili kiweze kuvuruga jitihada za vyama vya upinzani kuiondoa ccm madarakani. vyama vinavyolengwa ni CHADEMA na CUF ili wanachama wake waondoke na kujiunga na CCM ama hicho chama kipya kilichoanzishwa hivi karibuni.
Na whusika wote wa mpango huu wameishajipanga kukanusha kwamba hawajapewa fedha na CCM na CCM nao watakanusha kwamba hawakutoa fedha kwa hicho chama.
RAIA MWEMA (UK 11)na silvester Hanga
My Take
Mfano mzuri ni yule diwani wa CUF kule Tanga aliyehama cuf na kujiunga na ccm lakini bado anaruhusiwa kuingia kwenye vikao vya baraza la madiwani wakati mtu ukihama chama UBUNGE AU UDIWANI UNAKUWA UMEKOMA KUANZNIA SIKU ULIYOHAMA CHAMA
Kutokana na tuhuma zilizo tolewa na wale madiwani waliokuwa wanataka kununuliwa kule shinyanga na kuhama chama chao kwamba chama ACT kimeanzishwa na ccm ili kugawa wanachama wa chadema. Tunahitaji mtoke nje mje mkanushe hizi taarifa maana hamna chama kingine kimeanzishwa kimkatati hivi karibuni zaidi ya a ACT ya mwigamba na MM.