Hivi ndivyo tutakavyomkwamisha Dk. Magufuli

sawa na utaratibu wetu tuliouzoea ni kwamba wengi wape basi lowasa atambulike kua mshind il I akizi kilio cha wengi
ungesema tufanye kama alivyoshauri Mwal. wakati wa kura za maoni ya uwepo wa kura za maoni ya vyama vingi ile 20% kupewa ushindi ningekuelewa
 
...BILA YA KUUNGWA MKONO TAIFA.
Sema bila kuungwa mkono na watu wa Kilimanjaro na labda Arusha. Huko sababu zinafahamika wazi kabisa. Lakini ukisema kuungwa mkono taifa hapo unakosea. Endelea kuweweseka lakini Dr. Magufuli ndiye Rais. Umuunge mkono au usimuunge mkono hiyo ni shauri yako. Watanzania walio wengi wamempa kura zao.
 
TAIFA NI JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.
Hii sio JAMHURI YA ZANZIBAR na wala sio JAMHURI YA TANGANYIKA hii ni JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.
ikiwa uchaguzi ZANZIBAR utafutwa bila shaka MAGUFULI atakuwa rais wa TANGANYIKA na ikiwa kura zilizosimamiwa na ZEC na zikapelekwa NEC kutoka majimbo yote ya ZANZIBAR zikatambuliwa kama kura HALALI sasa kuna haja gani ya kutaka kufuta uchaguzi wa ZANZIBAR.
ZEC itangaze matokeo tusitafute balaa,
lakini kwa kuenenda tunavyoenenda kama ya ZANZIBAR hayatuhusu basi huu ndio MPASUKO mkubwa kuliko yote ktk taifa letu,
na mpasuko utatutagharimu sote lakini hasa mtu anaeitwa JOHN POMBE MAGUFULI.

Kuna tetesi kuwa serikali ya China watatoa mkwanja kwa maalim Seif na watu wake ili wakubali kuwaachia ccm watawale kama zamani
 
Hakuna mjinga yoyote wa kumkwamisha Magufuli. Ulishawai ona ndege inarudi rivasi? Magufuli ni kama ndege kwa sasa ndio inaanza kasi ata kupaa haijaanza. Wanaosema ana nguvu ya soda ni wale wanaoishi kwa nguvu ya viroba.

#Hapa kazi Tu

Kutokurudi nyuma ni sawa na kwenda huku umekatwa kichwa!! Yaani hatuna shida na Magufuli, tena tunamkubali sana! Ila kwa hizi sifa eti harudi nyuma ni sawa na kutuambiwa kwamba hatashaurika kwa lolote na akishaamua ameamua!! Kwa akili zako hizi taifa litatumbukia shimon dakika sufuri!
JPM hatakiwi kusikiliza mawazo kama yako maana ni mgando sana na hayana tija kwa hili taifa
 
Sema bila kuungwa mkono na watu wa Kilimanjaro na labda Arusha. Huko sababu zinafahamika wazi kabisa. Lakini ukisema kuungwa mkono taifa hapo unakosea. Endelea kuweweseka lakini Dr. Magufuli ndiye Rais. Umuunge mkono au usimuunge mkono hiyo ni shauri yako. Watanzania walio wengi wamempa kura zao.
Acha uongo sisi zanzibar hatukumpa kura
 
Kutokurudi nyuma ni sawa na kwenda huku umekatwa kichwa!! Yaani hatuna shida na Magufuli, tena tunamkubali sana! Ila kwa hizi sifa eti harudi nyuma ni sawa na kutuambiwa kwamba hatashaurika kwa lolote na akishaamua ameamua!! Kwa akili zako hizi taifa litatumbukia shimon dakika sufuri!
JPM hatakiwi kusikiliza mawazo kama yako maana ni mgando sana na hayana tija kwa hili taifa

Yeye asonge mbele kwa mbele huko huko kwenu Tanganyika lakini kwetu zanzibar atuachie serikali yetu ya ukawa tujiletee mwendelezo kwa kasi.
 
Huku zanzibar safari hii tutamkomalia seif aache Tabia yake ya miaka yote ya Kukaa vikao anapozwa kisha kuporwa Madaraka na kukosa heshima yake.
 
Takwimu zako za kipuuzi .... Rais wetu ameshinda kwa 62% ...Dunia inajua , CCM wanajua na wananchi wanajua kuwa CCM haikubaliki, Mmetumia NEC kubaka Demokrasia, Mmetumia vyombo vya dola kubaka Demokrasia na Sasa mnatumia mtindo ule ule kubaka Demokrasia Visiwani .... Itoshe kusema kuwa Mavi ni Mavi hata mkiyapulizia Manukato ....

Ile kesi kule ICJ vipi inaendeleaje?
 
meng sana maana ccm ilitumia hongo kurubuni wagombea kwa mfano jumbo langu LA ukonga ridhiwan alimpa hongo ya mill 600 waitara ili akubali kushindwa wanach walizunguka nyumba yake na kutoa amri moja akisaini tu wanaua with wrote waliokua ndani na kuchoma moto kila kitu.majimbo me ng mbinu hii ilitumika

Majimbo mengi ukawa walishinda ikatumika mbinu kama hii hivyo ushindi wa ccm ni wa kununua si ridhaa ya wapiga kura.
 
Nimejifunza kuwa maskini wengi wa kipato na kichwani mnawaogopa watu wa kaskazini hasa klm na A town...wivu tuu!
 
Nadhani wanasheria wao uchwara waliipeleka ile kesi ICU (Intensive Care Unit) badala ya ICJ.

Waendesha kesi kule nao wana njaa kwani kiongozi wa ile mahakama ICJ ni raia wa Gabon mtu mweusi siku zote kutenda haki ni shida, tambua kuwa kama wameweza kuchakachua huku huku Nchini watashindwaje kuchakachua huko nje.
 
Wanajitoa tu ufahamu lkn wanajua fika kilichofanyika! Magu anakazi kubwa sana maana anajua anaongoza watu ambao asilimia kubwa hawajamchagua,labda wale vilaza waliosema twaweza!!

Hususani sisi zanzibar hatukumpa kura kabisa.
 
Magufuli akitaka atawale kwa unafuu japo si haki ahakikishe zanzibar inapewa haki zake na kuwa serikali ya ukawa.
 
Back
Top Bottom