ngozimbili
JF-Expert Member
- Jul 28, 2011
- 1,398
- 1,006
Kwanza niondoe shakashaka yoyote juu nia,uwezo na sababu za DK MAGUFULI za kulipeleka taifa letu tunalolipenda sana kwenye ustawi.
Lakini napata mashaka makubwa kama taifa kwa maana ya wananchi tupo tayari kushirikiana na Rais wetu kuelekea tunakokukusudia,
tulitarajia baada ya uchaguzi kuisha na waliopata dhamana kutangazwa taifa lingerudi pamoja kwani kwenye demokrasia hakuna mshindi na mshindwa bali TAIFA huwa ndio limeshinda.
Hapa lazima niwe mkweli sikutegemea kubeza na kununa kwa upande wa upinzani(kwani walichopata si haba toka kwa chama dola kama CCM).
Lakini sikutegemea kuzomea,kejeli ama kujaribu kulibinafsisha taifa kutoka kwa CCM.
Kwa mujibu wa tume UKAWA wana 40% ya ushawishi ktk nchi na ili nchi iende inahitaji kuwa wamoja kama taifa na hapa ndipo yalipo majukumu yetu kama wananchi.
LAZIMA TUFAHAMU HAKUNA KIONGOZI YEYOTE ANAEWEZA KUFANIKIWA BILA YA KUUNGWA MKONO TAIFA.
Lakini napata mashaka makubwa kama taifa kwa maana ya wananchi tupo tayari kushirikiana na Rais wetu kuelekea tunakokukusudia,
tulitarajia baada ya uchaguzi kuisha na waliopata dhamana kutangazwa taifa lingerudi pamoja kwani kwenye demokrasia hakuna mshindi na mshindwa bali TAIFA huwa ndio limeshinda.
Hapa lazima niwe mkweli sikutegemea kubeza na kununa kwa upande wa upinzani(kwani walichopata si haba toka kwa chama dola kama CCM).
Lakini sikutegemea kuzomea,kejeli ama kujaribu kulibinafsisha taifa kutoka kwa CCM.
Kwa mujibu wa tume UKAWA wana 40% ya ushawishi ktk nchi na ili nchi iende inahitaji kuwa wamoja kama taifa na hapa ndipo yalipo majukumu yetu kama wananchi.
LAZIMA TUFAHAMU HAKUNA KIONGOZI YEYOTE ANAEWEZA KUFANIKIWA BILA YA KUUNGWA MKONO TAIFA.