Killing machine
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 2,374
- 3,395
Ukifika polini/mbugani utaona Simba wakiwala swala ili waishi japo swala nao Wana taka kuishi ila Wana kula majani amabayo nayo Yana taka kuishi
Ukienda baharini utakuta samaki wakubwa Wana Wala samaki wadogo ili waishi japo samaki wadogo nao wanataka kuishi na wanakula wadudu wa baharini na inchi kavu ambao nao wanataka kuishi
Ukija uraiani utakuta wanjeshi wa inchi frani wanaeda kuwauwa na kupola Mali za wanajeshi wainchi nyingine ili wao waishi
Japo hata wale wanajeshi nao wanataka kuishi
Ukija kwenye siasa utaona chama hiki kina wafanyia ukatiri wa kutisha chama kingine ili chenyewe kidumu kutawala japa hata hicho chama kinataka kutawala pia
Kwa Wana siasa pia utaona mwanasiasa huyu Ana mchinja mtoto /arbino ili ashinde uchaguzi baadae aje a enjoy maisha na familia yake
Japo hata mzazi wa huyo mtoto na yeye anatamani awe na maisha mazuli ili aje a enjoy na familia yake
Maisha Yana tisha maisha Yana ogopesha ila Kama hayaja kukuta life is too easy kwani Yana kuwa hayaja kukuta
Kuna watu Wana fanya kazi za kuteka mabinti za watu Kisha huwa safirisha kwenda kuwauza uko mbele
na wakitoka hapo huenda kufrahia na familia zao Huku wakiwa acha wazazi wenzao kweye masikitiko mazito mno juu ya mabinti zao walio potea
Kuna watu biashara zao niviungo vya watu Yani Figo,moyo,mguu,mkono,vidole, maskio nk
Hufanya hivyo na hayo ndiyo maisha yao Wala hawana hofu na hufanya hivyo kwa ajili ya familia zao ili zi frahi
Je! Unajua kwamba polisi Wana fungwa maskini pekee?
Je!unajua kwamba jela nikwa ajili ya watoto wa maskini?
Je unajua kwamba hapo ulipo wewe unaweza kutendewa chochote na raisi wako
Iki wezekana hata kuchinjwa au kuuzwa na asiulizwe chochote na mtu yeyote?
Maisha Yana shangaza
Kila boss Ana boss wake
Kila raisi Ana raisi wake
Kila mafia Ana mafia wake
Kila chinja chinja Ana chinja chinja wake
Mungu ameya fanya maisha kwa namma ambayo haielezeki
Maisha yame tengenezwa kuhangaika,kuto kutosheka,kuto lidhika,kuto kushiba mpaka tunaenda makabulini
Kwenye maisha Kuna watu Wana kula watu af Kuna watu wanakula wanyanyama na Kuna watu awali wanyama Wala watu wao hula mimea tu
Kama ilivyo kwa wanyama wa polini
Je! unajua kwamba Kama vile ambavyo ng'ombe hupigwa chapa kwamba ni Mali ya mtu frani au inchi frani ndivyo hata wewe ulivyo pigwa chapa?
Kwa mtanzania chapa hiyo hupigwa mkono wa kulia kwa mzambia mkono wa kushoto na kwa Malawi pia Kuna utaratibu wao
Maisha yetu hayana tofauti na wanyama waishivyo polini,samaki waishivyo baharini,Wala ndege waishivyo kwa kuwindana angani
Kama uamkavyo kwenda kuwinda kito weo ndivyo plisi aamkavyo kwenda kumwinda mjinga ili amlipe pesa ama frahi na familia yake
Kama ufugavyo na kuwa tazama ng'ombe wako ndivyo seikali ikufugavyo na kukutazama na kukupigia hesabu wewe na familia yako
Kama uendavyo shambani kwako na kuji chaguli mhindi mzuli kwa ajili ya kuuchoma
Ndivyo Mungu aji chaguliavyo mtu safi,mwenye roho Safi kwa ajili ya chakula chake shambani mwake
Hapo ndipo ulipo zaliwa usemi kwamba watu wema Hawa dumu
Na wenye roho mbaya hawafi mapema kwa sababu mungu havutiwi na roho chafu Bali roho safi
Je unajua kwamba raisi wako nimfano wa Simba mla swala polini?
Na makamu wake nikama chui mla swala mpaka nyani na wanyama engine wadogo wadogo polini?
Je unajua kwamba mbwa mwitu polini nikama majeshi ya inchi?
wao wakiumwa njaa hulana hata wao kwa wao hata raisi au simba akizubaa Ana liwa vizuli tu Cha msingi wao washibe
Maisha yamejaa ubinafsi ,unyama, ukatili,unyanya Saji l,nakila aina ya roho mbaya
Ukiingia mbugani utakutana na wanyama wanaitwa nyumbu. Ukiwa Tanzama nyumbu kwa idadi yao utagundua kwamba huenda ndiyo wanyama wanao zaliana kwa kasi Sana kutokana na wingi wao kuliko wanyama wengine
Nyumbu niwengi mbugani na nyumbu huliwa Sana na Simba hata chui hata mbwa mwitu mbugani
Nyumbu huliwa Sana kwasababu sio kwamba Hawa wezi kukimbia nyumbu wanajua Sana kukimbia
Sio kwamba Hawana nguvu hapana Wana nguvu na pembe zao ndiyo sraha yao
Isipo kuwa nyumbu hawajui kwamba kwanza wao niwengi kuliko wanyama woote mbugani Hilo hawalijui
Pili Simba anaujua udhaifu wao kwamba aki unguruma wao huanza kukimbia hovyo
sio kukusanyika sehemu moja Kama tembo ili kujitengenezea ulinzi
Simba naye hutumia njia hiyo hiyo kujichagulia aliye Nona nakumkimbiza Kati kati yao mpaka kumdondosha na kumtafuna bila kizuizi
Maisha yetu
Bin Adam hayana tofauti na maisha wanayo ishi wanyama mapolini
Miongoni mwetu Kuna watu wenye tabia na Hali Kama za Simba,chui,nyati,fisi,mbwa mwitu, eagle,mamba,nguchilo,nyoka,
nk
Ukienda baharini utakuta samaki wakubwa Wana Wala samaki wadogo ili waishi japo samaki wadogo nao wanataka kuishi na wanakula wadudu wa baharini na inchi kavu ambao nao wanataka kuishi
Ukija uraiani utakuta wanjeshi wa inchi frani wanaeda kuwauwa na kupola Mali za wanajeshi wainchi nyingine ili wao waishi
Japo hata wale wanajeshi nao wanataka kuishi
Ukija kwenye siasa utaona chama hiki kina wafanyia ukatiri wa kutisha chama kingine ili chenyewe kidumu kutawala japa hata hicho chama kinataka kutawala pia
Kwa Wana siasa pia utaona mwanasiasa huyu Ana mchinja mtoto /arbino ili ashinde uchaguzi baadae aje a enjoy maisha na familia yake
Japo hata mzazi wa huyo mtoto na yeye anatamani awe na maisha mazuli ili aje a enjoy na familia yake
Maisha Yana tisha maisha Yana ogopesha ila Kama hayaja kukuta life is too easy kwani Yana kuwa hayaja kukuta
Kuna watu Wana fanya kazi za kuteka mabinti za watu Kisha huwa safirisha kwenda kuwauza uko mbele
na wakitoka hapo huenda kufrahia na familia zao Huku wakiwa acha wazazi wenzao kweye masikitiko mazito mno juu ya mabinti zao walio potea
Kuna watu biashara zao niviungo vya watu Yani Figo,moyo,mguu,mkono,vidole, maskio nk
Hufanya hivyo na hayo ndiyo maisha yao Wala hawana hofu na hufanya hivyo kwa ajili ya familia zao ili zi frahi
Je! Unajua kwamba polisi Wana fungwa maskini pekee?
Je!unajua kwamba jela nikwa ajili ya watoto wa maskini?
Je unajua kwamba hapo ulipo wewe unaweza kutendewa chochote na raisi wako
Iki wezekana hata kuchinjwa au kuuzwa na asiulizwe chochote na mtu yeyote?
Maisha Yana shangaza
Kila boss Ana boss wake
Kila raisi Ana raisi wake
Kila mafia Ana mafia wake
Kila chinja chinja Ana chinja chinja wake
Mungu ameya fanya maisha kwa namma ambayo haielezeki
Maisha yame tengenezwa kuhangaika,kuto kutosheka,kuto lidhika,kuto kushiba mpaka tunaenda makabulini
Kwenye maisha Kuna watu Wana kula watu af Kuna watu wanakula wanyanyama na Kuna watu awali wanyama Wala watu wao hula mimea tu
Kama ilivyo kwa wanyama wa polini
Je! unajua kwamba Kama vile ambavyo ng'ombe hupigwa chapa kwamba ni Mali ya mtu frani au inchi frani ndivyo hata wewe ulivyo pigwa chapa?
Kwa mtanzania chapa hiyo hupigwa mkono wa kulia kwa mzambia mkono wa kushoto na kwa Malawi pia Kuna utaratibu wao
Maisha yetu hayana tofauti na wanyama waishivyo polini,samaki waishivyo baharini,Wala ndege waishivyo kwa kuwindana angani
Kama uamkavyo kwenda kuwinda kito weo ndivyo plisi aamkavyo kwenda kumwinda mjinga ili amlipe pesa ama frahi na familia yake
Kama ufugavyo na kuwa tazama ng'ombe wako ndivyo seikali ikufugavyo na kukutazama na kukupigia hesabu wewe na familia yako
Kama uendavyo shambani kwako na kuji chaguli mhindi mzuli kwa ajili ya kuuchoma
Ndivyo Mungu aji chaguliavyo mtu safi,mwenye roho Safi kwa ajili ya chakula chake shambani mwake
Hapo ndipo ulipo zaliwa usemi kwamba watu wema Hawa dumu
Na wenye roho mbaya hawafi mapema kwa sababu mungu havutiwi na roho chafu Bali roho safi
Je unajua kwamba raisi wako nimfano wa Simba mla swala polini?
Na makamu wake nikama chui mla swala mpaka nyani na wanyama engine wadogo wadogo polini?
Je unajua kwamba mbwa mwitu polini nikama majeshi ya inchi?
wao wakiumwa njaa hulana hata wao kwa wao hata raisi au simba akizubaa Ana liwa vizuli tu Cha msingi wao washibe
Maisha yamejaa ubinafsi ,unyama, ukatili,unyanya Saji l,nakila aina ya roho mbaya
Ukiingia mbugani utakutana na wanyama wanaitwa nyumbu. Ukiwa Tanzama nyumbu kwa idadi yao utagundua kwamba huenda ndiyo wanyama wanao zaliana kwa kasi Sana kutokana na wingi wao kuliko wanyama wengine
Nyumbu niwengi mbugani na nyumbu huliwa Sana na Simba hata chui hata mbwa mwitu mbugani
Nyumbu huliwa Sana kwasababu sio kwamba Hawa wezi kukimbia nyumbu wanajua Sana kukimbia
Sio kwamba Hawana nguvu hapana Wana nguvu na pembe zao ndiyo sraha yao
Isipo kuwa nyumbu hawajui kwamba kwanza wao niwengi kuliko wanyama woote mbugani Hilo hawalijui
Pili Simba anaujua udhaifu wao kwamba aki unguruma wao huanza kukimbia hovyo
sio kukusanyika sehemu moja Kama tembo ili kujitengenezea ulinzi
Simba naye hutumia njia hiyo hiyo kujichagulia aliye Nona nakumkimbiza Kati kati yao mpaka kumdondosha na kumtafuna bila kizuizi
Maisha yetu
Bin Adam hayana tofauti na maisha wanayo ishi wanyama mapolini
Miongoni mwetu Kuna watu wenye tabia na Hali Kama za Simba,chui,nyati,fisi,mbwa mwitu, eagle,mamba,nguchilo,nyoka,
nk