CCM Music
JF-Expert Member
- Dec 5, 2018
- 1,036
- 1,782
Hivi sasa huko Marekani kuna mijadala inaibuka kwa kasi sana kwamba:
Kwenye mifumo ya shule zao kuwepo na mafundisho kuhusu 'Slavery' ama kwa kifupi kuhusu Civil Rights Movements na hata kuhusu Dr. Martin Luther King Jr.
Sasa moja ya hofu kuu kwenye hili ni kwamba:
Wazungu na hasa watoto wa kizungu kwenye mashule wanahisiwa wataanza kujiona hata hawafai kuwa weupe kwa sababu ya unyama mkubwa waliowafanyia watu weusi, na watu weusi nao hasa watoto wao wataanza kujisikia vibaya mno na kujenga chuki kuu kwa walichofanyiwa na watu weupe.
Hiki kitu kinaibua: 'Critical Race Theory' kwa Tanzania kinaweza kuibua 'Critical Political Theory'
Kwa hio kinachoendelea kusisitizwa ni kujaribu kuwajenga watoto wa kizungu wasione kama wanahusika na unyama huo, na watoto weusi nao qasijisikie uchungu kwa hayo yaliyotokea miaka hiyo.
La kujifunza ni kitu gani hapa? Ni hiki:
Ni hakika Mzungu alikuwa na Nguvu sana kwa mweusi na hata sasa ana Nguvu sana, na bila shaka itaendelea kuwa hivyo lakini hakuna kisichokuwa na mwisho.
Je, CCM, Polisi, Serikali haioni kama kuna kitu cha kujifunza hapa?
Bahati mbaya sana internet haitakaa isahau kila kilichowahi kuwekwa kwenye internet, tofauti na miaka hiyo ambapo hakuna internet.
Je, si muda muafaka sasa chama tawala CCM, Polisi na Serikali kwa ujumla kufanya tathmini ya mwenendo wao wa kisiasa ili kuepusha 'Critical Political Theory' Kwa vizazi vijavyo? Maana ukweli ni kwamba:
Je, CCM haina la kujifunza Kwa yanayoendelea kwenye mataifa mengine huko nje?
All in all mie ni MwanaCCM huru!
Kwenye mifumo ya shule zao kuwepo na mafundisho kuhusu 'Slavery' ama kwa kifupi kuhusu Civil Rights Movements na hata kuhusu Dr. Martin Luther King Jr.
Sasa moja ya hofu kuu kwenye hili ni kwamba:
Wazungu na hasa watoto wa kizungu kwenye mashule wanahisiwa wataanza kujiona hata hawafai kuwa weupe kwa sababu ya unyama mkubwa waliowafanyia watu weusi, na watu weusi nao hasa watoto wao wataanza kujisikia vibaya mno na kujenga chuki kuu kwa walichofanyiwa na watu weupe.
Hiki kitu kinaibua: 'Critical Race Theory' kwa Tanzania kinaweza kuibua 'Critical Political Theory'
Kwa hio kinachoendelea kusisitizwa ni kujaribu kuwajenga watoto wa kizungu wasione kama wanahusika na unyama huo, na watoto weusi nao qasijisikie uchungu kwa hayo yaliyotokea miaka hiyo.
La kujifunza ni kitu gani hapa? Ni hiki:
Ni hakika Mzungu alikuwa na Nguvu sana kwa mweusi na hata sasa ana Nguvu sana, na bila shaka itaendelea kuwa hivyo lakini hakuna kisichokuwa na mwisho.
Je, CCM, Polisi, Serikali haioni kama kuna kitu cha kujifunza hapa?
Bahati mbaya sana internet haitakaa isahau kila kilichowahi kuwekwa kwenye internet, tofauti na miaka hiyo ambapo hakuna internet.
Je, si muda muafaka sasa chama tawala CCM, Polisi na Serikali kwa ujumla kufanya tathmini ya mwenendo wao wa kisiasa ili kuepusha 'Critical Political Theory' Kwa vizazi vijavyo? Maana ukweli ni kwamba:
Kuna nyakati CCM itakuja kupoteza utawala kwa wapinzani watakaokuwepo wakati huo inaweza kuwa kwa CHADEMA ama chama kingine.....
Kwa sasa CCM inapingwa zaidi na siasa za Nguvu ya kizazi yaani generational politics badala ya siasa za uhalisia, namaanisha watu wengi hasa Vijana hawana mzuka na masuala ya kupigania Uhuru au any legacy ambayo ingeibeba CCM badala yake wanaji compare zaidi na mataifa ya ulaya na hawajihusishi kabisa na siasa za mababu zao akina Nyerere the wengine.
Je, CCM haina la kujifunza Kwa yanayoendelea kwenye mataifa mengine huko nje?
All in all mie ni MwanaCCM huru!