Hivi ndivyo gari huwa zinawaka moto

JituMirabaMinne

JF-Expert Member
May 4, 2020
3,327
9,328
Hii ni Audi A3 2.0 TSI Hatchback ya mwaka 2010. Nimeifanyia Diagnosis kama kawaida ina error codes kibao (Zaidi ya Faults 50).

Sasa katika kwenda kutest waya za mojawapo ya sensor ambayo ilionesha ina shoti, Pembeni kidogo ya battery si nikakuta moshi unafuka. Halafu lile eneo la fusi box nikakuta ni la moto balaa.

Anyway nmefungua mfuniko wa fuse box ndio nakutana na kitu hiki hapa chini.



Ikabidi nizime gari then nifanye mpango wa kuchomoa hivyo vibati vilivyobakia hapo maana lile plastic lote la fuse limeshayeyuka na limeanza na kuyeyusha sehemu ya fuse box.

Nikakutana na kitu hiki

IMG_20210908_153902.jpg


Aiseee ukitazama vizuri hicho kibati kina nyaya nyaya ambazo zimewekwa na mafundi.

Kama kawaida mtu aliona fuse imeungua akaamua kunjunga na mayokeo yake waya umepata current kubwa then moto umeanza. Gari nyingi fuse zake zimezungushwa waya kama ilivyofanywa hii.

Other pictures

IMG_20210908_154504.jpg


IMG_20210908_153943.jpg


IMG_20210908_152959.jpg


IMG_20210908_152952.jpg



Kama kawaida naendelea kusisitiza. Gari za ulaya siyo za kununua kama unanunua nyanya.

Rejea

Thread 'Gari za Ulaya/Marekani hazitaki ubabaishaji kabisa' Gari za Ulaya/Marekani hazitaki ubabaishaji kabisa

Sasa hebu angalia faults za hii ya leo.

Screenshot_2021-09-08-15-10-46-717_com.us.thinkdiag.plus.jpg


Screenshot_2021-09-08-15-10-54-737_com.us.thinkdiag.plus.jpg


Screenshot_2021-09-08-15-11-04-764_com.us.thinkdiag.plus.jpg


Screenshot_2021-09-08-15-11-14-859_com.us.thinkdiag.plus.jpg


Pia hizi siyo gari za kuendesha tu ilimradi unaona inatembea. Check up inamatter sana. Otherwise siku ukija kupima ndio utatajiwa matatizo mpaka kichwa kikuume.



Kama una tatizo na gari yako au unahitaji Diagnosis nicheck.

Iwe gari yoyote ndogo ya Ulaya, Asia au Marekani tunapima na kusolve.

Nipo Dar.

0621 221 606.
 
Hii ni Audi A3 2.0 TSI Hatchback ya mwaka 2010. Nimeifanyia Diagnosis kama kawaida ina error codes kibao (Zaidi ya Faults 50).

Sasa katika kwenda kutest waya za mojawapo ya sensor ambayo ilionesha ina shoti, Pembeni kidogo ya battery si nikakuta moshi unafuka. Halafu lile eneo la fusi box nikakuta ni la moto balaa.

Anyway nmefungua mfuniko wa fuse box ndio nakutana na kitu hiki hapa chini.

View attachment 1929415

Ikabidi nizime gari then nifanye mpango wa kuchomoa hivyo vibati vilivyobakia hapo maana lile plastic lote la fuse limeshayeyuka na limeanza na kuyeyusha sehemu ya fuse box.

Nikakutana na kitu hiki

View attachment 1929416

Aiseee ukitazama vizuri hicho kibati kina nyaya nyaya ambazo zimewekwa na mafundi.

Kama kawaida mtu aliona fuse imeungua akaamua kunjunga na mayokeo yake waya umepata current kubwa then moto umeanza. Gari nyingi fuse zake zimezungushwa waya kama ilivyofanywa hii.

Other pictures

View attachment 1929419

View attachment 1929420

View attachment 1929422

View attachment 1929426


Kama kawaida naendelea kusisitiza. Gari za ulaya siyo za kununua kama unanunua nyanya.

Rejea

Thread 'Gari za Ulaya/Marekani hazitaki ubabaishaji kabisa' Gari za Ulaya/Marekani hazitaki ubabaishaji kabisa

Sasa hebu angalia faults za hii ya leo.

View attachment 1929434

View attachment 1929435

View attachment 1929437

View attachment 1929438

Pia hizi siyo gari za kuendesha tu ilimradi unaona inatembea. Check up inamatter sana. Otherwise siku ukija kupima ndio utatajiwa matatizo mpaka kichwa kikuume.



Kama una tatizo na gari yako au unahitaji Diagnosis nicheck.

Iwe gari yoyote ndogo ya Ulaya, Asia au Marekani tunapima na kusolve.

Nipo Dar.

0621 221 606.
Diagnosis mna charge kiasi gani ??
 
Lengo la kuweka nyaya laini au ndogo ili itumike kama fuse ni kwa ajili ya kumtoa mtu porini tu ila kama mtu yuko town huu ujinga hautakiwi.

Na wengi wetu kukadiria ni shida, unakuta mtu anaweka nyaya za kutosha ili fuse isikate tena...

Halafu kuna kitu huwa najiuliza sana, mbona mafundi wengi huwa wanabadili fuse tu pasipo kutafuta sababu ambazo zimepelekea fuse hiyo kukata, wao wana replace tu. Hii imeekaje kaka mkubwa?
 
Ga
Hii ni Audi A3 2.0 TSI Hatchback ya mwaka 2010. Nimeifanyia Diagnosis kama kawaida ina error codes kibao (Zaidi ya Faults 50).

Sasa katika kwenda kutest waya za mojawapo ya sensor ambayo ilionesha ina shoti, Pembeni kidogo ya battery si nikakuta moshi unafuka. Halafu lile eneo la fusi box nikakuta ni la moto balaa.

Anyway nmefungua mfuniko wa fuse box ndio nakutana na kitu hiki hapa chini.

View attachment 1929415

Ikabidi nizime gari then nifanye mpango wa kuchomoa hivyo vibati vilivyobakia hapo maana lile plastic lote la fuse limeshayeyuka na limeanza na kuyeyusha sehemu ya fuse box.

Nikakutana na kitu hiki

View attachment 1929416

Aiseee ukitazama vizuri hicho kibati kina nyaya nyaya ambazo zimewekwa na mafundi.

Kama kawaida mtu aliona fuse imeungua akaamua kunjunga na mayokeo yake waya umepata current kubwa then moto umeanza. Gari nyingi fuse zake zimezungushwa waya kama ilivyofanywa hii.

Other pictures

View attachment 1929419

View attachment 1929420

View attachment 1929422

View attachment 1929426


Kama kawaida naendelea kusisitiza. Gari za ulaya siyo za kununua kama unanunua nyanya.

Rejea

Thread 'Gari za Ulaya/Marekani hazitaki ubabaishaji kabisa' Gari za Ulaya/Marekani hazitaki ubabaishaji kabisa

Sasa hebu angalia faults za hii ya leo.

View attachment 1929434

View attachment 1929435

View attachment 1929437

View attachment 1929438

Pia hizi siyo gari za kuendesha tu ilimradi unaona inatembea. Check up inamatter sana. Otherwise siku ukija kupima ndio utatajiwa matatizo mpaka kichwa kikuume.



Kama una tatizo na gari yako au unahitaji Diagnosis nicheck.

Iwe gari yoyote ndogo ya Ulaya, Asia au Marekani tunapima na kusolve.

Nipo Dar.

0621 221 606.
Gari za Ulaya kwa hela za Mkopo wa NMB Lazima uwe mwehu
 
Lengo la kuweka nyaya laini au ndogo ili itumike kama fuse ni kwa ajili ya kumtoa mtu porini tu ila kama mtu yuko town huu ujinga hautakiwi.

Na wengi wetu kukadiria ni shida, unakuta mtu anaweka nyaya za kutosha ili fuse isikate tena...

Halafu kuna kitu huwa najiukiza sana, mbona mafundi wengi huwa wanabadili fuse tu pasipo kutafuta sababu ambazo zimepelekea fuse hiyo kukata, wao wana replace tu. Hii imeekaje kaka mkubwa?

Kukadiria waya ni kitu kigumu. Ndio maana haishauriwi.

Mtu ajitahidi tu atembee na fuse za akiba...

Fuse kuungua ni kitu cha kawaida ikiungua weka nyingine... Shida ni pale kila fuse unayoweka inawaka moto, Hapo ndio lazima utafute sababu ni nini na mara nyingi sababu huwa shoti...

Kama fuse inaungua mara kwa mara ukiweka waya kama hivyo lazima usababishe moto.
 
Back
Top Bottom