Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 66,696
- 172,652
Somebody about to fire his car huku manzee RRONDO mshauri mwanetu Holy Man awe makini na hii mambo ya DiagnosisHii ni Audi A3 2.0 TSI Hatchback ya mwaka 2010. Nimeifanyia Diagnosis kama kawaida ina error codes kibao (Zaidi ya Faults 50).
Sasa katika kwenda kutest waya za mojawapo ya sensor ambayo ilionesha ina shoti, Pembeni kidogo ya battery si nikakuta moshi unafuka. Halafu lile eneo la fusi box nikakuta ni la moto balaa.
Anyway nmefungua mfuniko wa fuse box ndio nakutana na kitu hiki hapa chini.
View attachment 1929415
Ikabidi nizime gari then nifanye mpango wa kuchomoa hivyo vibati vilivyobakia hapo maana lile plastic lote la fuse limeshayeyuka na limeanza na kuyeyusha sehemu ya fuse box.
Nikakutana na kitu hiki
View attachment 1929416
Aiseee ukitazama vizuri hicho kibati kina nyaya nyaya ambazo zimewekwa na mafundi.
Kama kawaida mtu aliona fuse imeungua akaamua kunjunga na mayokeo yake waya umepata current kubwa then moto umeanza. Gari nyingi fuse zake zimezungushwa waya kama ilivyofanywa hii.
Other pictures
View attachment 1929419
View attachment 1929420
View attachment 1929422
View attachment 1929426
Kama kawaida naendelea kusisitiza. Gari za ulaya siyo za kununua kama unanunua nyanya.
Rejea
Thread 'Gari za Ulaya/Marekani hazitaki ubabaishaji kabisa' Gari za Ulaya/Marekani hazitaki ubabaishaji kabisa
Sasa hebu angalia faults za hii ya leo.
View attachment 1929434
View attachment 1929435
View attachment 1929437
View attachment 1929438
Pia hizi siyo gari za kuendesha tu ilimradi unaona inatembea. Check up inamatter sana. Otherwise siku ukija kupima ndio utatajiwa matatizo mpaka kichwa kikuume.
Kama una tatizo na gari yako au unahitaji Diagnosis nicheck.
Iwe gari yoyote ndogo ya Ulaya, Asia au Marekani tunapima na kusolve.
Nipo Dar.
0621 221 606.