kali linux
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 1,996
- 5,045
Hello bosses and roses...
Humu watu baadhi wananijua kama computer programmer ila mie ni fundi magari pia. Kiukweli hizi gari za MAN wamejitahidi sana upande wa umeme, wiring iko organized vizuri mno, ukichukua MAN moja na trucks za makampuni mengine zenye range sawa ya bei basi utakuta MAN iko organized vizuri kuzidi hao wengine.
Kwanza kwenye MAN kila waya una namba yake, maboya yote yana ID pia. Hizi gari nyingi za siku hizi kuna miwaya mingi sana, ila wengi hawana mpangilio mzuri kama uliopo kwenye MAN hivo kufanya troubleshooting kuwa ngumu. MAN bila hata kuwa na wiring diagram unatengeneza.
Ila tukija kwa ndugu zetu scania aisee ni kichefuchefu, tena hizi zilizopo humu nchini nyingi kupiga shoti gari zima ni kawaida. Kwa uzoefu wangu kesi za truck kupiga shoti gari zima zinaongozwa na scania, ngoma inapiga shoti hadi main fuse box yote haitamaniki. Hii ni kwa sababu hizi gari organization yake ya wiring ni ya hovyo sana, fundi akigusa akachanganya kdg basi ni shida tayari, kwa MAN ni ngumu sana kuchanganya labda uwe hujui kabisa unalofanya
Humu watu baadhi wananijua kama computer programmer ila mie ni fundi magari pia. Kiukweli hizi gari za MAN wamejitahidi sana upande wa umeme, wiring iko organized vizuri mno, ukichukua MAN moja na trucks za makampuni mengine zenye range sawa ya bei basi utakuta MAN iko organized vizuri kuzidi hao wengine.
Kwanza kwenye MAN kila waya una namba yake, maboya yote yana ID pia. Hizi gari nyingi za siku hizi kuna miwaya mingi sana, ila wengi hawana mpangilio mzuri kama uliopo kwenye MAN hivo kufanya troubleshooting kuwa ngumu. MAN bila hata kuwa na wiring diagram unatengeneza.
Ila tukija kwa ndugu zetu scania aisee ni kichefuchefu, tena hizi zilizopo humu nchini nyingi kupiga shoti gari zima ni kawaida. Kwa uzoefu wangu kesi za truck kupiga shoti gari zima zinaongozwa na scania, ngoma inapiga shoti hadi main fuse box yote haitamaniki. Hii ni kwa sababu hizi gari organization yake ya wiring ni ya hovyo sana, fundi akigusa akachanganya kdg basi ni shida tayari, kwa MAN ni ngumu sana kuchanganya labda uwe hujui kabisa unalofanya