Waris goin on
Walioko nyuma yake walikuwepo.Afadhali babu yangu alikua bado hajazaliwa
Barack Obama mtoe hapo plz, yeye ni product ya kijana wa Kijaluo aliyepata scholarship.Kupitia Hao Mababu zetu ndio tumepata watu Kama
Tupac, Rick Ross, Lil Wayne, Jay Z, Beyonce, Snoop Dog, Vin diesel, Barack Obama, Rihanna, Mbappe, Wiz Khalifa, John Cena and All black Americans
Usikute Rick Ross Msukuma Au Lil Wayne Mkinga wa Iringa, Pengine Nick Minaj Mmakonde
mabeberu yalitesa sana babu zetu
Hivi Mbappe pia ni black american! Huyu mwamba miaka yote najuaga ni mfaransaKupitia Hao Mababu zetu ndio tumepata watu Kama
Tupac, Rick Ross, Lil Wayne, Jay Z, Beyonce, Snoop Dog, Vin diesel, Barack Obama, Rihanna, Mbappe, Wiz Khalifa, John Cena and All black Americans
Usikute Rick Ross Msukuma Au Lil Wayne Mkinga wa Iringa, Pengine Nick Minaj Mmakonde
Ndio ni mfaransa lakini ana asili ya huku gizani/ushenzini(Afrika)Hivi Mbappe pia ni black american! Huyu mwamba miaka yote najuaga ni mfaransa
Ukoo wetu sisi ni mpya sana hatuna ancestors kabisa labda nikifa mimi ndio ntakua mzimu wa kwanza kwenye ukoo wetuWalioko nyuma yake walikuwepo.