Hivi ndio ndoa zilivyo?

<p>
<font size="2">Habarini wandugu,</font></p>
<p><font size="2">Wife kaniambia anataka achukue mkopo kazini kwao kama 1.5mil nikamuuliza kwa ajili ya nini akaniambia nataka kuongeza baadhi ya vitu hapa ndani nikamwambia sawa lakini hiyo 1.5m mbona tunaweza kupata kwa mwezi 1 bila we kuchukua huo mkopo kazin?Nikamwabia tuweke bajeti ya pesa kwa ajili ya hivyo vitu unavyotaka then tutavinunua tu.Nikamwambia ipo siku tutajakwama na hapo ndo utachukua mkopo ila kwa sasa sababu hatuna shida ya haraka hivyo haina haja ya kuchukua huo mkopo japo huo mkopo hauna riba ila nikamwambia unaweza chukua leo hiyo 1.5m then baada ya mwezi ikatokea issue ambayo ni urgent inataka pesa tutafanyaje na kama kwa upande wangu mi nikiwa nimekwama kpesa?Kwa sababu mi sikuona umuhimu wa kuchukua hiyo pesa sana nikamwambia aache.Ghafla akabadilika akanza kununa huwa tunakula pamoja nikaona anatenga chakula kila mtu na sahani yake,usiku hataki hata nimsogelee.</font></p>
<p> </p>
<p><font size="2">Basi asubuhi nikamwambia isiwe tabu sababu mshahara ni wako fanya vile unataka sintokuuliza wala kukuambia chchote kuhusu mshahara wako.Ila toka juzi hatuko vizuri nikitoka kazin nikimsalimia anaitika kama hataki ki ukweli inanikera sana.</font></p>
<p> </p>
<p><font size="2">Na shida ni kwamba hii ndio tabia yake yaani mkitofautiana maneno kidigo atanuna hapo hadi mi nijifanye mjinga kumwambia mama acha kununa na ile na ile basi ndo uhusiano unarudi tena.Ila nataka nijaribu kuona trip hii nione mwisho utakuwaje coz najua anasubiria nimwambie mama acha kununa.</font></p>
<p><font size="2">Naomba munishauri sasa nifayeje wanandoa wenzangu?</font>
</p>
<p>&nbsp;</p>

nikwambie kitu maanuu huyo mkeo anataka kukutawala ukimwendekeza tuu umekwisha iko siku atakwambia deki, kosha vyombo, fua na ukimaliza upike yeye anatoka ukikataa tuu anakununia kwa vile anajua unaogopa kununiwa,

sasa nakupa ushauri wakiume kwakifupi tuu mwmbie hivi, 'SITAKI KUONA KITU KIPYA KIMEINGIZWA NDANI KWANGU' Kama nikununa mwache anune hadi apasuke ili ajue wewe sio wakupelekwapelekwa. sawa?
 
Habarini wandugu,
Wife kaniambia anataka achukue mkopo kazini kwao kama 1.5mil nikamuuliza kwa ajili ya nini akaniambia nataka kuongeza baadhi ya vitu hapa ndani nikamwambia sawa lakini hiyo 1.5m mbona tunaweza kupata kwa mwezi 1 bila we kuchukua huo mkopo kazin?Nikamwabia tuweke bajeti ya pesa kwa ajili ya hivyo vitu unavyotaka then tutavinunua tu.Nikamwambia ipo siku tutajakwama na hapo ndo utachukua mkopo ila kwa sasa sababu hatuna shida ya haraka hivyo haina haja ya kuchukua huo mkopo japo huo mkopo hauna riba ila nikamwambia unaweza chukua leo hiyo 1.5m then baada ya mwezi ikatokea issue ambayo ni urgent inataka pesa tutafanyaje na kama kwa upande wangu mi nikiwa nimekwama kpesa?Kwa sababu mi sikuona umuhimu wa kuchukua hiyo pesa sana nikamwambia aache.Ghafla akabadilika akanza kununa huwa tunakula pamoja nikaona anatenga chakula kila mtu na sahani yake,usiku hataki hata nimsogelee.

Basi asubuhi nikamwambia isiwe tabu sababu mshahara ni wako fanya vile unataka sintokuuliza wala kukuambia chchote kuhusu mshahara wako.Ila toka juzi hatuko vizuri nikitoka kazin nikimsalimia anaitika kama hataki ki ukweli inanikera sana.

Na shida ni kwamba hii ndio tabia yake yaani mkitofautiana maneno kidigo atanuna hapo hadi mi nijifanye mjinga kumwambia mama acha kununa na ile na ile basi ndo uhusiano unarudi tena.Ila nataka nijaribu kuona trip hii nione mwisho utakuwaje coz najua anasubiria nimwambie mama acha kununa.
Naomba munishauri sasa nifayeje wanandoa wenzangu?

hii kesi inahitaji kujua kwanza, waifu wako alikushauri mambo mangapi before na ulimkubalia mangapi?

possibility ya 1: inawezekana ameona kila analokushauri unampinga
possibility ya 2: inawezekana mke wako anapenda uhead master.
ukweli mnaujua nyinyi.

solution ya 1: kama unampinga mke wako kila kitu anachokushauri hiyo tabia acha mara moja
solution ya 2: kama ni kiburi cha mke wako basi hakuna kuulea huu uzembe kwa kubembeleza.

----THE END----
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Nimejaribu kumchunia hadi sasa nahisi kama vile naanza kumchukia

wanasema kamba hukatikia pembamba. Sasa hapo ndipo wembamba ulipo. Angalia hiyo kamba ina umuhimu gani na imeshikilia/fungia nini.
 
Back
Top Bottom