manuu
JF-Expert Member
- Apr 23, 2009
- 4,064
- 10,723
Habarini wandugu,
Wife kaniambia anataka achukue mkopo kazini kwao kama 1.5mil nikamuuliza kwa ajili ya nini akaniambia nataka kuongeza baadhi ya vitu hapa ndani nikamwambia sawa lakini hiyo 1.5m mbona tunaweza kupata kwa mwezi 1 bila we kuchukua huo mkopo kazin?Nikamwabia tuweke bajeti ya pesa kwa ajili ya hivyo vitu unavyotaka then tutavinunua tu.Nikamwambia ipo siku tutajakwama na hapo ndo utachukua mkopo ila kwa sasa sababu hatuna shida ya haraka hivyo haina haja ya kuchukua huo mkopo japo huo mkopo hauna riba ila nikamwambia unaweza chukua leo hiyo 1.5m then baada ya mwezi ikatokea issue ambayo ni urgent inataka pesa tutafanyaje na kama kwa upande wangu mi nikiwa nimekwama kpesa?Kwa sababu mi sikuona umuhimu wa kuchukua hiyo pesa sana nikamwambia aache.Ghafla akabadilika akanza kununa huwa tunakula pamoja nikaona anatenga chakula kila mtu na sahani yake,usiku hataki hata nimsogelee.
Basi asubuhi nikamwambia isiwe tabu sababu mshahara ni wako fanya vile unataka sintokuuliza wala kukuambia chchote kuhusu mshahara wako.Ila toka juzi hatuko vizuri nikitoka kazin nikimsalimia anaitika kama hataki ki ukweli inanikera sana.
Na shida ni kwamba hii ndio tabia yake yaani mkitofautiana maneno kidigo atanuna hapo hadi mi nijifanye mjinga kumwambia mama acha kununa na ile na ile basi ndo uhusiano unarudi tena.Ila nataka nijaribu kuona trip hii nione mwisho utakuwaje coz najua anasubiria nimwambie mama acha kununa.
Naomba munishauri sasa nifayeje wanandoa wenzangu?
Wife kaniambia anataka achukue mkopo kazini kwao kama 1.5mil nikamuuliza kwa ajili ya nini akaniambia nataka kuongeza baadhi ya vitu hapa ndani nikamwambia sawa lakini hiyo 1.5m mbona tunaweza kupata kwa mwezi 1 bila we kuchukua huo mkopo kazin?Nikamwabia tuweke bajeti ya pesa kwa ajili ya hivyo vitu unavyotaka then tutavinunua tu.Nikamwambia ipo siku tutajakwama na hapo ndo utachukua mkopo ila kwa sasa sababu hatuna shida ya haraka hivyo haina haja ya kuchukua huo mkopo japo huo mkopo hauna riba ila nikamwambia unaweza chukua leo hiyo 1.5m then baada ya mwezi ikatokea issue ambayo ni urgent inataka pesa tutafanyaje na kama kwa upande wangu mi nikiwa nimekwama kpesa?Kwa sababu mi sikuona umuhimu wa kuchukua hiyo pesa sana nikamwambia aache.Ghafla akabadilika akanza kununa huwa tunakula pamoja nikaona anatenga chakula kila mtu na sahani yake,usiku hataki hata nimsogelee.
Basi asubuhi nikamwambia isiwe tabu sababu mshahara ni wako fanya vile unataka sintokuuliza wala kukuambia chchote kuhusu mshahara wako.Ila toka juzi hatuko vizuri nikitoka kazin nikimsalimia anaitika kama hataki ki ukweli inanikera sana.
Na shida ni kwamba hii ndio tabia yake yaani mkitofautiana maneno kidigo atanuna hapo hadi mi nijifanye mjinga kumwambia mama acha kununa na ile na ile basi ndo uhusiano unarudi tena.Ila nataka nijaribu kuona trip hii nione mwisho utakuwaje coz najua anasubiria nimwambie mama acha kununa.
Naomba munishauri sasa nifayeje wanandoa wenzangu?