Hivi ndio ndoa zilivyo?

Oohh jamani
nimeipenda story
yako kweli..
THIS IS REALY LOVE
mmbeleze mama bwana
Rahaa kweli kama mwanaume wako
akiwa anakudekeza

Borea hata huyu
Anataka kubembelez wa
tu..mmmhhh ungempata
Yule mpaka BM ndo mtapatana..

Kesho rudi home
Mapema mpikie,weka
wine juu yA meza
A bunch of Rosess ,
Mishumaa mmmhhh..

Yes u do have teenager love..
Look after her..

Ps. .sijaolewa natarajia..
Samahani maana ulisema kwa walio olewa tu..
Kubembelezwa pakiwa pa upande mmoja tu kila mara panaboa bana.
 
mna muda gani wapendwa wkenye hii ndoa? coz naona mdada bado hajapata purukushani za ndoa huyu acdhani vitu viogo kama hivi vitakuwa na nafac huko mbeleni, ni jambo dogo sana hili kweny hii game...ana kasumba zake huyo zitakuja kumuisha tu cku zinaposonga mbele mwenyewe atakuw anajibembelezesha.

Tuna kama miaka 3 nyamayao ila ndo katabia chake kila tunapopishana maneno bila mi kushuka akieleweki.
 
Yani mpaka mnakula sahani moja??Aisee!Nwy mwambie kama baba umeamua kwamba aachane na mkopo baada ya mwezi au miwili mtanunua hivyo vitu!Then usimbembeleze kwa zaidi ya wiki mbili uone kama ataendelea kununa.Kama ataendelea mwisho wa siku bembeleza ukijua siku ukimkosea kikwelikweli utashaa!
 
mbembeleze, acha kuwa ngangari!!wanawake ndio walivyo na ndicho anachotaka. tena usiache fanya haraka. utapoteza ndoa ukichelewachelewa
 
Uwe makini kdg,huenda kuna 'jamaa' kamwahidi kumpa,so anatafuta baraka zako kiaina 'while hiding her head in the sand' usije shangaa mabadiliko ya ghafla.Mkubalie/mtege auchukue muuweke bank mtapata hiyo interest.Check hiyo salary slip km ina deductions,km vp umeliwa.
 
Ni vizuri kama ushajua kuwa akinuna anahitaji kubembelezwa ili awe sawa.
Mbembeleze.
Kwani kumbembeleza inakugarimu nin?
Katika mapenzi wote mkitaka kujifanya mpo juu kama kikombe cha babu hamtafika popote.

Sawa lakini huoni basi akizoea hivyo itakuja kuwa ndo tabia kwamba ye hatak kushauriwa ukipishana nae tu ye atakuwa ananuna sasa tutaenda hivyo mpaka lini sasa au mwisho wake ni nini?
 
Habarini wandugu,
Wife kaniambia anataka achukue mkopo kazini kwao kama 1.5mil nikamuuliza kwa ajili ya nini akaniambia nataka kuongeza baadhi ya vitu hapa ndani nikamwambia sawa lakini hiyo 1.5m mbona tunaweza kupata kwa mwezi 1 bila we kuchukua huo mkopo kazin?Nikamwabia tuweke bajeti ya pesa kwa ajili ya hivyo vitu unavyotaka then tutavinunua tu.Nikamwambia ipo siku tutajakwama na hapo ndo utachukua mkopo ila kwa sasa sababu hatuna shida ya haraka hivyo haina haja ya kuchukua huo mkopo japo huo mkopo hauna riba ila nikamwambia unaweza chukua leo hiyo 1.5m then baada ya mwezi ikatokea issue ambayo ni urgent inataka pesa tutafanyaje na kama kwa upande wangu mi nikiwa nimekwama kpesa?Kwa sababu mi sikuona umuhimu wa kuchukua hiyo pesa sana nikamwambia aache.Ghafla akabadilika akanza kununa huwa tunakula pamoja nikaona anatenga chakula kila mtu na sahani yake,usiku hataki hata nimsogelee.

Basi asubuhi nikamwambia isiwe tabu sababu mshahara ni wako fanya vile unataka sintokuuliza wala kukuambia chchote kuhusu mshahara wako.Ila toka juzi hatuko vizuri nikitoka kazin nikimsalimia anaitika kama hataki ki ukweli inanikera sana.

Na shida ni kwamba hii ndio tabia yake yaani mkitofautiana maneno kidigo atanuna hapo hadi mi nijifanye mjinga kumwambia mama acha kununa na ile na ile basi ndo uhusiano unarudi tena.Ila nataka nijaribu kuona trip hii nione mwisho utakuwaje coz najua anasubiria nimwambie mama acha kununa.
Naomba munishauri sasa nifayeje wanandoa wenzangu?

...Una bahati sana wife wako kakushirikisha kwenye mipango yake ya mkopo.
Wenzako wanakopa na kujiendeleza kivyao. Shukuru mungu kwa hilo kwanza.

Pili, shukuru mungu mkeo ana mipango ya kuboresha maisha yenu kwa uwezo mlio nao sasa.
Hiyo kauli ya Ipo siku, hata siku moja haitakuja timia bana. Ipo siku ni kauli ya waliokata tamaa.
You only have "today" to live! Ya kesho huyajui, wasiwasi wa nini? Ya kesho yatajitatua yenyewe.

Chanzo cha mkeo kununa inawezekana ni hiyo tabia yako. Kila anapokushirikisha kwenye jambo,
wewe unakuwa ni muamuzi wa mwisho. Tabia mbaya sana, Acha nae awe na maamuzi yake,
Ndio Uhuru wa ndoa huo. Taratibu isijefikia mke akajiona hana kauli ndani ya nyumba.

Kubali achukue huo mkopo mboreshe maisha yenu ya leo.
 
Tuna kama miaka 3 nyamayao ila ndo katabia chake kila tunapopishana maneno bila mi kushuka akieleweki.

kwa ukweli inaboa sana, ningekuwa ni mie wewe ningemchunia mpaka atakapoona imekuwaje then aanze kujiongelesha, hapo unampa fundisho kwamba hatuendi/hatutaweza kuendelea hivi akiwa anajitambua atabadilika, kinachomfanya mgumu kubadilika ni vile kila wakati unavyombembeleza hata kama ishu ni yeye kaifanya, kama hapa mie cjaona ishu kabisa kabisa, sasa mtaishije ndani bila kushauriana?...na nani kamwambia watu wanakopaga pesa kununua furniture za ndani, pesa inakopwa kwa ishu za muhimu jamani, kumalizia kakibanda/cjui mmekwama fees...sasa ununue sofa zina ulazima gani kwa wakati huo?
 
Uwe makini kdg,huenda kuna 'jamaa' kamwahidi kumpa,so anatafuta baraka zako kiaina 'while hiding her head in the sand' usije shangaa mabadiliko ya ghafla.Mkubalie/mtege auchukue muuweke bank mtapata hiyo interest.Check hiyo salary slip km ina deductions,km vp umeliwa.
Naamini siwezi kumchunga mtu mzima so huwa si hofu kabisa eti labda wife anakidume au lah ila naamini za mwizi 40.
 
Sawa lakini huoni basi akizoea hivyo itakuja kuwa ndo tabia kwamba ye hatak kushauriwa ukipishana nae tu ye atakuwa ananuna sasa tutaenda hivyo mpaka lini sasa au mwisho wake ni nini?

ukishasawazisha ya sasahv tafuta muda mzungumzie juu ya hilo suala lake la kununa nuna.
 
kaka akili zako kichwani hapa utaambiwa mambo kibao ni wewe kuchuja, mambo cjui ya kumtafutia msaidizi cjui nn na nn sio kutatua tatizo bali kuongezea tatizo juu ya tatizo.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Mh,huyo kuna jamaa anamlisha huko na kahitaji hela ndo mbinu ya kuzipata hiyo!
Ukimruhusu tu utasikia anakwambia kaibiwa
Uwe makini kdg,huenda kuna 'jamaa' kamwahidi kumpa,so anatafuta baraka zako kiaina 'while hiding her head in the sand' usije shangaa mabadiliko ya ghafla.Mkubalie/mtege auchukue muuweke bank mtapata hiyo interest.Check hiyo salary slip km ina deductions,km vp umeliwa.
Mtafutie msaidizi haraka vinginevyo atakuendesha sana

...paranoia na suspicious minds hizi mnazipandikiza vichwani halafu zinamea na kuzalisha dhahma kwenye maisha ya ndoa. Taratibuni msijegeuka wanaume ambao hamtaki mke akuzidi kielimu, mali wala busara.
Kununa ni non-verbal communications.

Kama unampenda Mkeo/Mumeo, utajiuliza kwanini kanuna na wewe umechangia lipi.
Kesi hii ipo wazi kabisa, Mke ni Optimistic wakati mume ni Pessimistic. Clash of characters.

Manuu, ni Lazima uuchukie 'umaskini' kwanza ndipo mtapoweza kuishi kwa raha na amani.
Msikilize na mpe fursa mkeo.
 
Back
Top Bottom