Kisali.TechnitianJr.
JF-Expert Member
- Nov 2, 2012
- 592
- 182
mkuu kuna vijamaa vilikuwa chini kabisa ya age yangu by that time nikiwa form 2. vyenyewe vina vindevu lakini mimi wapi!
Mimi mdogo wangu aliyeingia form 1 nikiwa form 4 anazo mimi sina ila heshima ipo maana the way nina-act ni tofauti sana na yeye. Usijali ila utu uzima wako ujidhihirishe kwa kila kitu hata maongexi yako