The golden
JF-Expert Member
- Sep 11, 2018
- 1,381
- 2,553
Hili neno mwanachi limekuwa linanipa shida kidogo.
Tunaomba tusaidiane, vigezo vipi vinavyotumika kama sifa za kuwa Mwananchi.
Je, hivi mtu akiwa; mwalimu, askari, daktari, mchungaji, mwanafunzi, muhasibu, mwanasiasa, mcheza mpira, mwanamziki au mfanyabiashara , je mtu huyu anakoma kuwa mwananchi?
Mwananchi hasa ni nani?
Maana nimesikia sehemu mtu akisema, wanaodai katiba ni wanasiasa siyo mwananchi. Je, mtu akiwa mwanasiasa anakoma kuwa mwananchi? Jamani mwananchi hasa ni nani?
Tunaomba tusaidiane, vigezo vipi vinavyotumika kama sifa za kuwa Mwananchi.
Je, hivi mtu akiwa; mwalimu, askari, daktari, mchungaji, mwanafunzi, muhasibu, mwanasiasa, mcheza mpira, mwanamziki au mfanyabiashara , je mtu huyu anakoma kuwa mwananchi?
Mwananchi hasa ni nani?
Maana nimesikia sehemu mtu akisema, wanaodai katiba ni wanasiasa siyo mwananchi. Je, mtu akiwa mwanasiasa anakoma kuwa mwananchi? Jamani mwananchi hasa ni nani?