Hiyo ni roho ya kishetani.Hivi mtu unapata faida gani kumchongea mwingine kazini kufukuzwa ili upate cheo chake?haya mambo sidhani kama wazungu wanayo.ndo maana hatuendelei .chuki na ubinafsi kila mahali.hali ilivyo ngumu saivi bado mtu anakufanyia fitna ili ufukuzwe kazi.na walaaniwe wote wenye tabia hizo
Ameuliza swali unachopaswa kufanya ni kujibu kama huna cha kujibu funga kinywa.Mbona thread yako imejaa malalamiko yasiyo na ushahidi, kama hauna kielelezo chochote, hebu tupe basi hata mkasa wowote, ili ueleweke mkuu..!
Hivi mtu unapata faida gani kumchongea mwingine kazini kufukuzwa ili upate cheo chake?haya mambo sidhani kama wazungu wanayo.ndo maana hatuendelei .chuki na ubinafsi kila mahali.hali ilivyo ngumu saivi bado mtu anakufanyia fitna ili ufukuzwe kazi.na walaaniwe wote wenye tabia hizo
usinifundishe nini cha kucomment, nini nisiComment, nimeComment bila kuvunja sheria ya JF hata moja, mwenye thread amekaa kimya na ameelewa nini nilichoongea.Ameuliza swali unachopaswa kufanya ni kujibu kama huna cha kujibu funga kinywa.
Lazima uelewe kuwa hiyo "kuchongea" ina maana gani? Halafu kwa nini unafananisha eti na wazungu. Fala kweli. Kama mtu anaharibu kazi ni aende tuHivi mtu unapata faida gani kumchongea mwingine kazini kufukuzwa ili upate cheo chake?haya mambo sidhani kama wazungu wanayo.ndo maana hatuendelei .chuki na ubinafsi kila mahali.hali ilivyo ngumu saivi bado mtu anakufanyia fitna ili ufukuzwe kazi.na walaaniwe wote wenye tabia hizo
Aina hii ya uongozi ndio iliua mashirika yote ya uma.Mkuu unajua wakati mweingine unakuwa hauna jinsi tu mimi hapa nina wasichana tangu Kampuni iwe chini yangu wenye kampuni kurudi kwao maana hii ni branch tu.
Wao kuja kazini mpaka wajisikie na mishahara na allowance zote wanapewa ila hawana moyo wa kazi ninao uwezo wa kuwafukuza kazi ila nawaza pia je nikiwafukuza mishahara yao itaongezwa kwangu jibu ninalolipata naona bora waendelee.
Nilishawasema lakni hawabadili kama nipo peke yangu ofisini watu washazoea kazi .
Nao nikiwachongea watakuja kutoa uzi kama huu ili kunilaumu.
Mi naona afdhali wewe unayefanyiwa figisu ya kufukuzwa, mimi niliyofanyiwa ilikuwa ya kufukuzwa kazi na kufungwa miaka 30 au maisha. Nashindwa hata kusimulia ila watu tuna roho mbaya kupitiliza.
Shida yako unamaliza mwaka na viloba kichwani.usinifundishe nini cha kucomment, nini nisiComment, nimeComment bila kuvunja sheria ya JF hata moja, mwenye thread amekaa kimya na ameelewa nini nilichoongea.
Usipende kuingilia mambo yasiyo kuhusu kama unaona unawashwa jifunze kupita tu.. ukiendelea na hizo tabia mtajikuta mmebalishwa jinsia.. shwaiiiinnn..!
Lazima uelewe kuwa hiyo "kuchongea" ina maana gani? Halafu kwa nini unafananisha eti na wazungu. Fala kweli. Kama mtu anaharibu kazi ni aende tu
Ikipenya vizuri, huwa mnamalizia na tusi..Shida yako unamaliza mwaka na viloba kichwani.