D Dkileo Member May 23, 2017 51 46 Nov 26, 2017 #1 hivi mtu asipo fanya field anaweza kuomba kuirudia??
I Iddy Rubota Member Jul 1, 2015 76 34 Nov 26, 2017 #2 Dkileo said: hivi mtu asipo fanya field anaweza kuomba kuirudia?? Click to expand... udsm ni laziam urudie mwishon mwa mwaka wa masomo
Dkileo said: hivi mtu asipo fanya field anaweza kuomba kuirudia?? Click to expand... udsm ni laziam urudie mwishon mwa mwaka wa masomo
Pain killer JF-Expert Member Aug 15, 2017 14,170 21,311 Nov 26, 2017 #3 Duuu...hararii...coarse nyingine unashindwa hata pakufanya field
Castro A Senior Member Feb 19, 2016 194 120 Nov 26, 2017 #4 Em ngoja waje wakongwe na wakufunzi watueleweshe,mana mimi mwenyewe binafsi sijawahi kuwaza jambo kama hili
Em ngoja waje wakongwe na wakufunzi watueleweshe,mana mimi mwenyewe binafsi sijawahi kuwaza jambo kama hili