Mwaka huu ndio inarudishwa....na watatoa kcmc,bombo na mbeya rufaaKwanza iyo Amo inatolewa chuo kipi kwa hapa tz
Umepata wapi hizi taarifa?Mwaka huu ndio inarudishwa....na watatoa kcmc,bombo na mbeya rufaa
Umepata wapi hizi taarifa?
Hii ni degree ya aina gani?Hivi mtu aliesoma AMO (Assistant medical officer),anaweza akasoma masters zipi kwa anaefahamu naomba anijuze..
Advanced diploma ya clinical officer....Hii ni degree ya aina gani?
Inahusiana na nini?
Na vyuo gani inayotoa hii degree?
AMO ni qualification ambayo inatambulika Tanzania tu. haipo kwingine. huwezi kusoma Masters kwa Kutumia qualifications za AMOHivi mtu aliesoma AMO (Assistant medical officer),anaweza akasoma masters zipi kwa anaefahamu naomba anijuze..
Sawa nimekuelewa...AMO ni qualification ambayo inatambulika Tanzania tu. haipo kwingine. huwezi kusoma Masters kwa Kutumia qualifications za AMO
Hii si wanaisoma ambao wana AMO au hata CO?Mkuu huwezi kusoma master ila cheki kuna kozi pale muhimbili inaitwa advanced diploma in dermatovamalogy inaweza kukufaa kama unataka kuongeza ujuzi
Kuna AMO wa bachelor mkuu wenye bachelor ya clinical medicine technically ni AMOHuwezi kwenda masters mpk uwe na bachelor degree asa amo ana advanced diploma anaendaje kuchukua masters
Mwenye Bachelor ya Clinical Medicine still anaweza kuwa na progression pathway in different health related fellowships or research fellowships etc kila jambo lina mlango wa kutokeaMtu mwenye bachelor ya clinical medicine kwa Tanzania ni equavalent na amo so hawezi kusoma speciality za medicine labda asome masters I think ni ya clinical medicine siipati vzr line speciality nyngne hawezi kusoma
😆😆Elimu za kuungaunga mwanzo mnafurahi sana kupata kazi mapema. Baadaye mnaanza kutapatapa.