Zee Korofi
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 1,604
- 1,440
Hivi mtu akiku block WhatsApp utajuaje? Ni hivi nilikuwa na chat na demu for first time, niliiweka dp avatar ya Ushimen sasa now neno about silioni, sijajua kama ndio ameni block au la!
Ngoja...[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]mtext kisha utajua
Thats no serious!
Mawazo ya kizinzi haya[emoji23]Mpeleke Moto mkuu ata unblock
Nimeuliza swali, nijue. Huna uhakika kama ameni block au la! Soma kwa makini.!Hakutaki, jifunze ku-balance shobo.
Ushakula block. Ukiacha ona profile yake, jua huhitajiki tayariHivi mtu akiku block WhatsApp utajuaje? Ni hivi nilikuwa na chat na demu for first time, niliiweka dp avatar ya Ushimen sasa now neno about silioni, sijajua kama ndio ameni block au la!
Kabila gani wewe mbona mshamba mshamba hivyo? Muandiko wa kishamba sana, hebu njoo dar ujanjarukeDp unakuwa huioni. Jombaa shila njia yako hutakiwi
Umepigwa na kitu kizito[emoji2][emoji2][emoji2]Hivi mtu akiku block WhatsApp utajuaje? Ni hivi nilikuwa na chat na demu for first time, niliiweka dp avatar ya Ushimen sasa now neno about silioni, sijajua kama ndio ameni block au la!
Bio kwa maana ya...?????Ni kwamba unakua huioni profile picture na bio yake pia huioni
Uhakika zaidi chukua simu nyingine au Kama una account nyingine ya WhatsApp save hiyo namba uiangalie
biologyBio kwa maana ya...?????
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]biology
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] dah!biology
Kabila gani wewe mbona mshamba mshamba hivyo? Muandiko wa kishamba sana, hebu njoo dar ujanjaruke