The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 2,333
- 3,567
Mbona naona kama hakuna mtu anayejitutumua na kutosha kuwa mpinzani sahihi wa Rais Samia kwenye uchaguzi mkuu!
Spunda anakwambia kama unakula ubwabwa wewe ni mwanachama wakeHashim Rungwe ndio namjua