Fbn
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 14,138
- 33,530
Kwa machawa utasikia "mama kafanya" haya mwambieni kuhusu maji.
Hakuna Dar es Salaam wala mikoani ni yale yale tena kanda ya ziwa ndio kabisa yani shida ya maji ni mgao.
Wizara inapitisha bajeti kubwa ila uwezi kuona inafanyia nini zaidi ya kutegemea mvua.
Hivi kama nchi ina vyanzo kila kona na kila ukichimba kuna maji nchi hii kwa wakazi wa Dar wanashindwa kupata maji.
Lingine tuna maziwa ambayo maji yana rudi kule kule.
Tutunze Amani sio chochote.
Hakuna Dar es Salaam wala mikoani ni yale yale tena kanda ya ziwa ndio kabisa yani shida ya maji ni mgao.
Wizara inapitisha bajeti kubwa ila uwezi kuona inafanyia nini zaidi ya kutegemea mvua.
Hivi kama nchi ina vyanzo kila kona na kila ukichimba kuna maji nchi hii kwa wakazi wa Dar wanashindwa kupata maji.
Lingine tuna maziwa ambayo maji yana rudi kule kule.
Tutunze Amani sio chochote.