Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,192
- 46,238
Wakuu good evening.
Aisee kuna hili swala mimi huwa linanitesa sana..Mimi huwa kuna muda namtamani tu mwanamke i.e sijiingizi kwenye serious relationship,yaani nazugazuga tu kuwa nampenda huku nikimtumia na baada ya muda naona sina haja ya kuendelea nae,kwanza kadri navyozidi kuwa ndo ninavyozidi kumpotezea muda...Najua hili sio jambo jema kabisa kulifanya,ni kucheza na hisia za mtu.
Nyie wakuu mnafanyaje kumtema mtu bila kuregret kuhusu kumtesa kihisia? i.e yeye anajua unampenda kweli kumbe wewe unataka tu kupiga na kula kona.
Kuna mmoja nimeacha kupokea simu na kujibu text zake,mwisho wa siku amenitumia text hii hapa chini..wakuu nimeumia sana..Huu ndo utakuwa mwisho wangu wa kucheza na mabinti wa watu.
Sema sina hela mimi kapuku tu,text yake inapotosha.
Aisee kuna hili swala mimi huwa linanitesa sana..Mimi huwa kuna muda namtamani tu mwanamke i.e sijiingizi kwenye serious relationship,yaani nazugazuga tu kuwa nampenda huku nikimtumia na baada ya muda naona sina haja ya kuendelea nae,kwanza kadri navyozidi kuwa ndo ninavyozidi kumpotezea muda...Najua hili sio jambo jema kabisa kulifanya,ni kucheza na hisia za mtu.
Nyie wakuu mnafanyaje kumtema mtu bila kuregret kuhusu kumtesa kihisia? i.e yeye anajua unampenda kweli kumbe wewe unataka tu kupiga na kula kona.
Kuna mmoja nimeacha kupokea simu na kujibu text zake,mwisho wa siku amenitumia text hii hapa chini..wakuu nimeumia sana..Huu ndo utakuwa mwisho wangu wa kucheza na mabinti wa watu.
Sema sina hela mimi kapuku tu,text yake inapotosha.