Kaitaba
JF-Expert Member
- Jun 30, 2009
- 916
- 52
Yule kiongozi wa kanisa anayetuhumiwa kumpa ujauzito mwanafunzi ameachiwa kwa dhamana na polisi,
Polisi hao wamejitetea kuwa wamelazimika kufanya hivyo kwa sababu huyu ni kiongozi wa kiroho na kuendelea kumshikilia ni jambo la aibu,
Tatizo hapa sio kumwachia, ila je upelelezi unaofanyika hataweza kuualibu? na je usarama wake dhidi ya wazazi wa huyo mtoto umeakikishwaje?
Na je, ni wametuhumiwa wangapi wenye kosa kama hili, wako ndani na kesi zao mpaka sasa ni kipindi kirefu hazijaanza kusikilizwa?
Hapa haki iko wapi????!!!!
Polisi hao wamejitetea kuwa wamelazimika kufanya hivyo kwa sababu huyu ni kiongozi wa kiroho na kuendelea kumshikilia ni jambo la aibu,
Tatizo hapa sio kumwachia, ila je upelelezi unaofanyika hataweza kuualibu? na je usarama wake dhidi ya wazazi wa huyo mtoto umeakikishwaje?
Na je, ni wametuhumiwa wangapi wenye kosa kama hili, wako ndani na kesi zao mpaka sasa ni kipindi kirefu hazijaanza kusikilizwa?
Hapa haki iko wapi????!!!!