MO11
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 18,857
- 38,613
Last edited by a moderator:
Hata kusimama huwa inafaa ila mazungumzo muhimu.
baadae wakati naomba kabla ya kulala ntakuombea kwa mungu uyo mkeo akuache.
Nikuulize Mkuu , ivi ingekua wewe ndio umemfumania kama alivyokufumania wewe Ivi leo hii mgekua pamoja au ingebaki story tuu? Nirahisi kusema kosa Gani lisilo samehewa lakini umekaa ukafikiri umemumiza kiyasi gani?
Hata kusimama huwa inafaa ila mazungumzo muhimu.
Shosti ule uzi wa lara moko mods wameubaka nini???
Nausaka siuoni