Yule mzinifu mwenzio si bado anakupenda uhamie kwake kabisa?
Mkuu nashangaa sana, hivi kwa hesabu zako unadhani bado upo kwenye ndoa. Hakuna kitu kibaya kwenye ndoa kama mke kumfumania mume, hata iweje hakusamehe katu. Nina asilimia zote hata yeye ana mtu ama mchepuko wake na ndo huyo anaempa idea za biashara na kumsimamia mambo ya license na nyaraka nyengine muhimu. Ushauri... mtoe out kupata dinner na baada ya chakula mwambie umeamua kumpa talaka just as a joke uone ata react vipi. Utapata jibu
unakumbuka kiapo kinasemaje pale altareni?
Hivi huwa ni lazima wakae chini!!!
Hivi kile kiemogi cha wasssap chenye wadada wawili wanarusha tumiguu wamevaa nguo.nyeusi huku huwa hakipo?
Mekimithiiiii!
Hahahahahahaha uuuwih!