Amenikumbusha move ya marehemu kanumba kama luciferJamaa anahitaji mshauri wa mavazi la sivyo ukikutana nae usiku unaweza kukimbia
View attachment 1032087
Unaweza ukazani wichicrafti
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo penyewe tayari amemuwakilisha mzee lucifer.Amenikumbusha move ya marehemu kanumba kama lucifer
Nimeshangaa mkuu maana vazi kama hili alivaa marehemu kanumba kwenye move yake ya kuelezea wafuasi wa Lucifer.Hapo penyewe tayari amemuwakilisha mzee lucifer.
Ukifuatilia aina ya mavazi yanayovaliwa kwa uwakilishi wao hilo vazi lipo na hata la huyo mama kushoto kwake.
Ukipata video ya jz alipokiwa anaelezea nafasi yake wakati anavuka nafasi ya Freemasons nadhani kwenye zile lodge zao No. II utaona hizo mavazi.
NB. Kama sitakuwa nimekosea.
Unapenda mambo ya kidini bro?,hahah.Nimeshangaa mkuu maana vazi kama hili alivaa marehemu kanumba kwenye move yake ya kuelezea wafuasi wa Lucifer.
Comment yangu ina udini mkuu?Unapenda mambo ya kidini bro?,hahah.
Mtumishi la saba B (7B)
Bado anaomboleza machungu ya kuachwa...