BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Bado naendelea kujiuluza hilii swali jamani hivi mawaziri hawastaafu?
Na vipi wabunge wawe na kikomo cha uongozi badala ya kuendekeza mtu mmoja anakufa unasikia alikuwa mbunge miaka 30 unawaza hapo kwake ndie alikuwa na elimu kuliko wote ama? Tunaomba hasa wabunge wapewe kikomo miaka 10 tosha.
Otherwise tunawe mikono Waganda wamekimbia lockdown wako Mwanza Bukoba, Arusha na sasa Dar
Hali sio nzuri sana
Na vipi wabunge wawe na kikomo cha uongozi badala ya kuendekeza mtu mmoja anakufa unasikia alikuwa mbunge miaka 30 unawaza hapo kwake ndie alikuwa na elimu kuliko wote ama? Tunaomba hasa wabunge wapewe kikomo miaka 10 tosha.
Otherwise tunawe mikono Waganda wamekimbia lockdown wako Mwanza Bukoba, Arusha na sasa Dar
Hali sio nzuri sana