Ferruccio Lamborghini
JF-Expert Member
- Apr 15, 2020
- 1,664
- 2,517
Wajuvi wa mambo naomba mnijuze
"Hivi mawakili uwa wanasalimianaje mahakamani?"
"Hivi mawakili uwa wanasalimianaje mahakamani?"
Wivu huuTaaluma ya kipumbavu ni sheria
Habari yako wakili msomi mwenzangu ,mjuaji wa Sheria,kihere here mwenzangu, raia mwenzangu ambaye kifungu naomba ...cha katiba ya JMTZ kimetupa ruhusa ya kuishi, bwana.....(hapa Sasa ndio jina linatajwa)😁Msaada jamani
Wana cite Kila kitu,ukute hata ukiwa wakili ukamwambia mwenzako "mambo" anakataa bila kumfanyia citation ya Act gani imeruhusu hiviTaaluma ya kipumbavu ni sheria
Jaman😂😂😂Habari yako wakili msomi mwenzangu ,mjuaji wa Sheria,kihere here mwenzangu, raia mwenzangu ambaye kifungu naomba ...cha katiba ya JMTZ kimetupa ruhusa ya kuishi, bwana.....(hapa Sasa ndio jina linatajwa)😁
Yes..hizo title pia hutumika kwao...Lordship for male Judges na Ladyship for female judges. Inatokana na tamaduni za waingereza tulikotolea mfumo wetu wa sheria.Niliwahi kwenda kesi moja,walisalimia Jaji his lordship hii imekaaje??
Umofia kwenu
"Mshikaji ukishinda hii kesi basi tukutane kitaa leo usiku, nami nikishinda njoo kitaa tupongezane."Wajuvi wa mambo naomba mnijuze
"Hivi mawakili uwa wanasalimianaje mahakamani?"
Wajuvi wa mambo naomba mnijuze
"Hivi mawakili uwa wanasalimianaje mahakamani?"