Hivi mapenzi bila kusema uongo hayawezekani?

Hivi mapenzi bila kusema uongo hayawezekani?

I hope all that is being said in this thread is that men and women should lie to each other to sustain their relationships!

let us then answer the following question honestly: "will you like to be lied to?"
 
Ukiwa mkweli mara zote kweli utapata shida! Baadhi ya wapenzi hupenda kudanganywa ingwa wao ukidanganya wanaona kweli na ukisema kweli unaonesha unadanganya au hujali...

Kuna aina ya uongo ambao unakubalika kama kumwambia mwenzio nitakujengea nyumba au kukununulia VITZ wakati wewe unaishi nyumba ya kupanga na baiskeli huna........! Ni mapenzi unamuahidi mambo mazuri mazuri kuonesha kiasi gani unamjali na kumthamini....
 
Back
Top Bottom